sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahahahaha! Husni ngastuka na machale kunidesa unataka nifukuzwe kazi kwa hivi vicheko vya mfululizo! Boxer??? Hujataja size!...lol.hadi vyupi?
Uwiiii!
Mi navaaga boxer. Lol!
Hahahahaha! Husni ngastuka na machale kunidesa unataka nifukuzwe kazi kwa hivi vicheko vya mfululizo! Boxer??? Hujataja size!...lol.hadi vyupi?
Uwiiii!
Mi navaaga boxer. Lol!
:doh:Tatizo sina access katika hili jukwaa!!Nilitaka kuwambia mbona mnakuwa wabinafsi??ungeuliza ingeneral nasisi tuwambie tunapenda wapenzi wetu wavae namna gani wanapenda nini??ehee?au niianzishie thread??Tatizo sina access katika hili jukwaa!!:doh::A S 39:
Hahahahaha! Husni ngastuka na machale kunidesa unataka nifukuzwe kazi kwa hivi vicheko vya mfululizo! Boxer??? Hujataja size!...lol.
:doh:Tatizo sina access katika hili jukwaa!!Nilitaka kuwambia mbona mnakuwa wabinafsi??ungeuliza ingeneral nasisi tuwambie tunapenda wapenzi wetu wavae namna gani wanapenda nini??ehee?au niianzishie thread??Tatizo sina access katika hili jukwaa!!:doh::A S 39:
Tehe tehe tehe! Yan kama nakuona ulivyoibana! Hahahaha! Umeifanya ijumaa kwangu ikawa fureshi mpendwa! Una kakipaji, kwa nini usiwasiliane na masanja kama anaweza kukuajiri O'K? Hafu mbona huyu Fl katoweka ghfla? Au alitaka tu ajue twavaa vyup aina gan then atoweke? Manake simuoni hapa ukumbini.free size mpenzi. Likilegea nalibana na pini. Lol!
Hafu mbona huyu Fl katoweka ghfla? Au alitaka tu ajue twavaa vyup aina gan then atoweke? Manake simuoni hapa ukumbini.
</p><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/plane.gif" border="0" alt="" title="Plane" smilieid="243" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/plane.gif" border="0" alt="" title="Plane" smilieid="243" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/plane.gif" border="0" alt="" title="Plane" smilieid="243" class="inlineimg" />
aisee huyu FL ametufanya sisi tumemwaga cv zetu za pamba nyepesi na mapowwda halafu yeye kayeyuka hajataka hata kusema kama yeye anapendelea magauni ya vitenge.
TF ndo tabia gan kuchungulia wadada??lane:lane:lane:
:doh:Tatizo sina access katika hili jukwaa!!Nilitaka kuwambia mbona mnakuwa wabinafsi??ungeuliza ingeneral nasisi tuwambie tunapenda wapenzi wetu wavae namna gani wanapenda nini??ehee?au niianzishie thread??Tatizo sina access katika hili jukwaa!!:doh::A S 39:
Mimi mpiga picha za mnato!!na za kutembea!!lolz chabo inaruhusiwa!eep::behindsofa::car:KK tuko kwenye k'party, huruhusiwi, mwambie mupenzi aje mwenyewe, wewe subiri send off tutakualika. Sawa?
na itakuwa ndo mapigo yake. Magauni ya vitenge yanaishia kati kati ya miguu, huelewi kavaa kimin au gaun fupi. Huku twayaita heshima debe. Atamletaje mwali ukumbini then atoroke?? Sa nani atamfunda mwali wakati kungwi Fl kasepa??
kuna watu wanagonga hyo pamba nzito na raba.
Halafu unajua hii sredi hawa watu wenye ndevu washavamia.
Tunahitaji ulinzi.
Huna bastola karibu?
Mi hapa nina kiwembe tu.
aisee huyu FL ametufanya sisi tumemwaga cv zetu za pamba nyepesi na mapowwda halafu yeye kayeyuka hajataka hata kusema kama yeye anapendelea magauni ya vitenge.
na itakuwa ndo mapigo yake. Magauni ya vitenge yanaishia kati kati ya miguu, huelewi kavaa kimin au gaun fupi. Huku twayaita heshima debe. Atamletaje mwali ukumbini then atoroke?? Sa nani atamfunda mwali wakati kungwi Fl kasepa??
Hahahaha! Chabo sio nzuri sehemu kama hizi, utaona mambo makubwa!?Mimi mpiga picha za mnato!!na za kutembea!!lolz chabo inaruhusiwa!eep::behindsofa::car:
husninyo nimeweka bana
Shekhe babu yangu, afu mi ndo mrithi wake mtarajiwa yan hapo ndo naijarbu mikoba kidogo alyonikabdh, nmepatia ee? Utakoma siku nkipewa mkoba mkubwa! Haya kungwi where have you been?? Umetuacha peke yetu na Husni mpaka wababa wamekuja kutuchungulia.heheheheh sweetlad utadhani wewe shekhe Yahya