Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Wapi Lizzy?
Husninyo najua wee ndo baunsa mlangoni!!:shocked:
nashukuru kwa kutambua cheo changu.
Kama Tf atashika kibatari sawa. Humu ndani tuna aleji na taa zinazo2mia umeme wa tanesco.
Husninyo unavaaga vikamba?
Wewe unavaaga heels?
:welcome::welcome:dahhh FL1 leo umenikamatisha mmhh
nway nikiwa nyumbani mara nyingi niko kwenye short shorts na vest ....
in general napenda skinny jins na tops...
kama naenda out i prefer minskert, low cut tops lakini napenda zaidi mini dress...
nikienda kumsalimia bibi kanga mbili hahaha lol
vipodozi sipaki ( ila kama naenda out make up ntaweka )
personal mi niko rough sana kwa kazi nifanyayo mara nyingi niko kwenye jins
au shorts.. (depends with the weather) Nywele mmhhh nasuka au nabana Afro langu
huwa na relax every now and then but i cant be bother most of time..
nina style ya ki tomboy ... ( im into sports ndo maana napenda shorts zangu lol)
( nina addiction mbaya sana ya perfume na viatu )
AD utakayemwona Clubin sio sawa na AD utakaye mwona uwanjani,kazini au nyumbani ...
the END...
:welcome::welcome:
Firstlady, umenisahau ila si mbya. Sasa basi kwa wale wapenzi wa kushona vitenge, mimi ni fundi na designer. Karibu sana atakayehitaji basi aniPM ili nimpe namba yangu ya simu na wapi naishi.
Ki mapenz, napenda kuvaa vitu vya kienyeji, batics, vitenge, suits, jeans, shanga aina za zote, miguu kiuno, viatu nk. karibuni sana.
Wasalaam
Lizzy ndiye mwali kwenye k'party so haruhusiwi kuongea, yeye ni kusikiliza tu na kujib NDIYO.Wapi Lizzy?
Mmh, sorry, mimi siyo lady. Nilipotea njia.
kimbia sana mkuu,hawakawii kukupa kanga hawa eti ujifunge kiunoni.
Naogopa viwembe.labda ninong'one nikitarajia Da prety hasikii,'' mi ni katika wale wasiotakiwa hapa. Nimekuja kimakosa niliona ka kiiza,na midume mingine kama mimi wakichungulia na kufurahia nikadhani wanaangalia mechi kati ya manchester na arsenal nilipotizama(tena kwa jicho moja tu),DUUUUUUH !!!!!!! TOBA nikagundua nimeingia choo cha kike. ndio nikakuta jamaa anapewa vidonge vyake. PLEASE AKINA DADA MNISAMEHE KWA KUPITIA HAPA.SITARUDIA TENA. FL1 please mkamate huyo da prety asije nijeruhi wakati najiandaa kutimua mbio.''Kwani we nawe nani?
Mbona wasema hawa badala ya sisis?
Au nawe siyo Hawa?