TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
mmhhhh jamani
unaniumiza na mimi eti khaaa..
Kwa hiyo hunitaki sababu nimesoma..??
Na kweli unadhani hii ndo sababu kubwa ya ndoa kuvunjika??
Nyie hamuwezi kuvumilia shida mnapenda raha tu
mmhhhh jamani
unaniumiza na mimi eti khaaa..
Kwa hiyo hunitaki sababu nimesoma..??
Na kweli unadhani hii ndo sababu kubwa ya ndoa kuvunjika??
Good girl......Dond drink while driving, OK?
Nyie hamuwezi kuvumilia shida mnapenda raha tu
Usisahau kuniletea mkongojo tafazali...... uushike vizuri usije ukakunjika.Ntanzinagatia hilo babu ..
Ubarikiwe na ugoro wako
uzidi kukupa nguvu milele na milele Amen ..
umewaza nini AD mpaka kuanzisha hii thread? I am glad to say that I am no longer addicted to JF....Wishful thinking eeh!
Afu hakikisha watu wengine hawauoni, si unajua walivyojawa na mawivu?Usjali babu ..
Ntahakikisha umenyooka vizuri ..
na ni mimi tu ntakae kufikishia ..
Afu hakikisha watu wengine hawauoni, si unajua walivyojawa na mawivu?
Hapana miwani usilete, ila unletee mafuta ya kupaka........usjali babu ntaweka kwenye ile plastick bag ngumu ...
ile yenye rangi ya zambarau...
halafu ntaukumbatia vizuri hakuna
atakae ona kabisa...
Je unataka nilete na miwani au??
The roof, the roof,
The roof is on fire,
We don't need no water
Let that motherfakka burn!
NB: Afrodenzi, you are required to give me both "Thanks" and "Like" for this useful post.
Hapana miwani usilete, ila unletee mafuta ya kupaka........
hahahahahahahahah lol
aahhhhh mi bora niondoke ..
umenichekesha kwa kweli NN ..
The Following User Says Thank You to Nyani Ngabu For This Useful Post:
afrodenzi (Today)
si vema ku judge watu juuu juu kiasi hicho ...
na pia huu ni ukandamizaji wa kinjisia ..
Kwa kifupi kila mtu anapenda raha..
lakini si kila mtu amjaliwa kupata hiyo raha..
Raha huja kwa bidii ya mtu , na raha hailetwi
na masomo tu ..
samahani leo na raha zangu naomba tuishie hapa..
weekend njema..