Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Kweli hii kali
khaaaaa ndo nini tena hii jamani ..
inatisha kwa kweli ...
NN
Mbona tumekutana Juzi tu ..
Ni jana tu hatuja nanilii ..
Kimya ya lini tena hiyo??
Ukiwa na demu msomi yaani maumivu sasa anamwacha mwenzie kitandani yeye busy FB
Ndo maana ndoa nyingi za wasomi zinavunjika hivi hivi demu yupo busy usiku na cmu eti kwa vile kuna ofa ya tigo kupiga bure kuanzia dk.3 hapo kamwacha mmewe kitandani anaugulia minyege.
Yaahh
wametuweza kwa kweli loohhh
itabidi to Join A-team ya Infi hahahah lol
maana nyingi "thanx" zilitoka pale
unakumbuka mpaka elfu nne na hahahah lol
hahahah
hata mi nazililia zangu aisee..
itabidi ufumue uzi kama ule tena aisee..
maana naona A-team wako mjini ..hahahha lol
Kamuulize Felista wa King Star Bar kama navyokuwa kaunta bize na bia yangu huwa namkumbuka Maxence........ODM na biya ni sawa na Afrodenzi na JF jukwaa la MMU na Chi ChatBabu Babu
Shkamoo..
Hata wewe si hutokagi humu ndani babu??..