eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
watuhumiwa wa uhujumu uchumi bado wang'ang'ania ndugu yangu mkuu wa kaya ajiunge nao kuvuliwa gamba.. Maana wanadai fedha zao za Kagoda ndio ilikuwa neeema yake yeye kuwa mwenyekiti wa chama.
Katika hali isiyo ya kawaida EL kule bungeni alibeza serikali akitaka wachukue maamuzi magumu ambayo ni kumng'oa mkuu wa kaya na kujiunga nao...
Katika hali isiyo ya kawaida EL kule bungeni alibeza serikali akitaka wachukue maamuzi magumu ambayo ni kumng'oa mkuu wa kaya na kujiunga nao...