passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 5,892
- 11,374
Kila mtu anaona dunia imekuwa sio Sehemu salama tena na hata Tanzania haipo salama tena.Nashauri jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ liimarishwe zaidi kwa kupewa silaha za kisasa zaidi kama vifaa vya ulinzi wa anga (Air defence systems za kisasa), mamia ya ndege vita za kisasa makombora ya masafa marefu Nk.
Sidhani kama tunauwezo wa kuzuia makombora mengi kama Israel. Tuwatumie marafiki zetu kama Russia, China Nk kuchukua utaalamu, jeshi lisiwe jeshi la ovyo.
Sidhani kama tunauwezo wa kuzuia makombora mengi kama Israel. Tuwatumie marafiki zetu kama Russia, China Nk kuchukua utaalamu, jeshi lisiwe jeshi la ovyo.