terabojo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 215
- 45
Wana JF napongeza uamuzi wa waziri wa mambo ya ndani kutoawiki moja zaidi kwa watu na hasa madereva wa mabasi na magari makubwa ili waweze kupata hiyo leseni mpya. Wasi wasi wangu ni kwamba hiyo wiki haitoshi kwa kuwa kama mtu hana inabidi akapate mafunzo ktk chuo cha usafirishaji - si chini ya wiki 2, akifaulu aende TRA aandikishe na aende traffic waka mpe road test ndio aende tra kupata leseni. Mzunguko huo si chini ya siku 30.
Suali ni je waziri hajui mlolongo huo?? Nawakilisha
Suali ni je waziri hajui mlolongo huo?? Nawakilisha