mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
hivi nyie uamsho mlifikiri mtaua polisi muachiwe tu hivi hivi....mtakoma..na bado heri yako wamekunyofoa nywele lazima mnyofolewe na sehemu zingine zaidi mpaka kieleweke
Kile kilichofanywa na wana uamsho si uvunjifu wa haki za binadamu? Kuharibu mali za watu na kuua polisi ni nini? Kutishia kuchinja maaskofu/wachungaji endapo Farid asipoachiwa ni nini? Kwanini mnakuwa wagumu kuanza kukemea madhambi mliyoanza kuyafanya wenyewe lakini mnakemea matokeo yake tu sasa?
Kumbe wazanzibari mnapenda haki na kuthamini maisha ya watu kiasi hiki? Mlikuwa wapi zamani wakati mnahubiri chuki na kutishia kuchinja watu?
Wanaodai wazanzibari kwa ujumla wao au wanaodai CUF??Usalama wa taifa wameshatumwa na ccm kufanya mpango mzima,kwa vile nguvu za ccm na mizizi yake iko katika muungano,na muungano wazanzibari hawautaki, Muungano wa mkataba wanao dai wazanzibari ni kufunja mizizi ya ccm.
Usalama wa taifa kwanza wamesoma weakness za vijana,pia wamesoma moto ambao unaenda na jazba wa vijana,waleweza kucheza karata kama mtihani mdogo kwa wazanzibari,walijua kama tutafanya ujasusi wa kumteka kiongozi wa uwamsho basi amani itatoweka zanzibar,huo utakuwa ni mwanya wa kuwasambatisha wazanzibari.
Uwamsho ni kijisababu tu kidogo,lakini tufahamu kuwa hapa kumelengwa kwa wazanzibari wote,ukitaka kujua ukweli angalia jeshi la msako wanao fanya,hawafanyi kwa uwamsho bali kila mzanzibari,wanawapiga ndani ya majumba yao,yote hio ni kuwatia hofu wazanzibari washindwe kwenda kutoa maoni ya katiba mpya.
Na kipigo hiki ni katika wilaya ya mjini magharibi ambako kwa sasa ndiko kuliko bakia katika uchukuwaji wa maoni ya katiba mpya,pia wilaya ya mjini magharibi ndiko ambako kwenye joto kubwa la vijana ambao wanaotaka mabadiliko wa mfumo wa muungano.
Sasa hvi wanachojaribu kuzima wazanzibari wasitoke njee wala katika mikusanyiko yoyote wasihudhurie.
Jengine wenzetu Watanganyika ambao wasio itakia mema zanzibar wanataka kuthibitisha kuwa serikali ya umoja wa kitaifa haifanyi kazi ,na amani hakuna zanzibar,huo ndio mpango maalum kutoka dodoma,kuimaliza zanzibar na kuwagawa wananchi.
think think think
Usalama wa taifa wameshatumwa na ccm kufanya mpango mzima,kwa vile nguvu za ccm na mizizi yake iko katika muungano,na muungano wazanzibari hawautaki, Muungano wa mkataba wanao dai wazanzibari ni kufunja mizizi ya ccm.
Usalama wa taifa kwanza wamesoma weakness za vijana,pia wamesoma moto ambao unaenda na jazba wa vijana,waleweza kucheza karata kama mtihani mdogo kwa wazanzibari,walijua kama tutafanya ujasusi wa kumteka kiongozi wa uwamsho basi amani itatoweka zanzibar,huo utakuwa ni mwanya wa kuwasambatisha wazanzibari.
Uwamsho ni kijisababu tu kidogo,lakini tufahamu kuwa hapa kumelengwa kwa wazanzibari wote,ukitaka kujua ukweli angalia jeshi la msako wanao fanya,hawafanyi kwa uwamsho bali kila mzanzibari,wanawapiga ndani ya majumba yao,yote hio ni kuwatia hofu wazanzibari washindwe kwenda kutoa maoni ya katiba mpya.
Na kipigo hiki ni katika wilaya ya mjini magharibi ambako kwa sasa ndiko kuliko bakia katika uchukuwaji wa maoni ya katiba mpya,pia wilaya ya mjini magharibi ndiko ambako kwenye joto kubwa la vijana ambao wanaotaka mabadiliko wa mfumo wa muungano.
Sasa hvi wanachojaribu kuzima wazanzibari wasitoke njee wala katika mikusanyiko yoyote wasihudhurie.
Jengine wenzetu Watanganyika ambao wasio itakia mema zanzibar wanataka kuthibitisha kuwa serikali ya umoja wa kitaifa haifanyi kazi ,na amani hakuna zanzibar,huo ndio mpango maalum kutoka dodoma,kuimaliza zanzibar na kuwagawa wananchi.
think think think
Kila mtu na imani,uislamu sio kusuka nywele wa kuvuga ndevu,uislamu upo katika metendo ambayo allah ameyaamrisha matendo hayo kuyafuata na kuyatekeleza,ukisema ndevu au nywele ni uislamu,mungalie muambaji wa america RICK ROSS,au pia muislamu ?Kuna ulazima gani kila kufeli kwenu muwasingizie watu wengine?
UAMSHO unaouita ni kijisababu ni kwa vile hakikudhuru wewe. Kumbuka ni huo huo UAMSHO wenu ndio umetumika kuharibu mali za watu na kufanya mauaji. Hayo unayaita kitu kidogo ila huyu jamaa kunyolewa tu kidogo imekuwa kelele.
Watanganyika wasioitakia mema Zanzibar ndio watu gani?
Halafu naomba nikuulize swali, usikimbie kama kawaida yenu naomba tu unijibu: Muislamu mwanaume anaruhusiwa KUSUKA nywele?
ni vizuri ukapost comment baada ya pombe uliyokunywa na bangi uliyovuta kuisha.Bahati mbaya tu kinyozi alikuwa kalewa, hizo zinaitwa WAR CASUALTIES.
Si mlitaka ukombozi, huo hapo. Uzuri huko hamna mkristo wa kumsingizia
Kasameheni bure hako kamdudu kako kwenye kipindi cha moon.
wewe ni mkaguzi wa post humu JF? au ni kule kuwashwa washwa alikosema mabumba mwenyekiti wa Bunge
Dume zima unashindwa hoja na dada halafu unamtukana! I thought ungeendelea kujibizana naye kwa hoja sio lugha ambazo hazihusiki. Kwani hata na wa kwako siwanapata au hawapati? Au wako kwenye menopause? Acha hizo!
Wengi humu ndani mnajidai mnapenda CDM kwa vile kinatetea haki za watanzania. Mtwambie sasa watanzania gani? Au ndio ishara ya namna mtavyoongoza nchi kama mkifanikiwa kupata? I am so dissapointed!
Kwanza uwe mwangalifu yakhe!
Miye si CDM, halafu nimemquote huyo "dada" yako unayemhusudu, nisaidie kujibu hoja za hapo RED.
hahahahahahahhaahahah, uuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! umenivunja mbavu mkuu,Napata mashaka sana mtoto wa kike anaposema kunyoa ni uvunjifu wa haki ya binadamu, ina maana dada kwapa lako liko kama kichwa cha singasinga?
Kwani CCM ndio wenye hiyo saluni?
Na kunyoa ngozi ni sunna pia kwa sababu polisi waliomnyoa huyo fwara ni waisilamu hahahahaKila mtu na imani,uislamu sio kusuka nywele wa kuvuga ndevu,uislamu upo katika metendo ambayo allah ameyaamrisha matendo hayo kuyafuata na kuyatekeleza,ukisema ndevu au nywele ni uislamu,mungalie muambaji wa america RICK ROSS,au pia muislamu ?
Kufuga ndevu ni sunna tu za mtume wetu muhammad S.A.W .
[h=1]Polisi wadaiwa kufanya unyama[/h] Posted on October 31, 2012
Salum Bakari Muya anayedaiwa kuteswa kwa kukatwa ngozi kwa kisu kichwani na kisha kunyonyolewa nywele na baadhi ya vikosi vya ulinzi na usalama nchini ambapo alisema vikosi hao wakiwemo polisi ambao pia walikuwa na silaha.
MTU moja mkazi wa Mkele jana alinusurika kuuawa katika msako wa kuwakamata watu wanaotuhumiwa kusababisha vurugu zilizotokea wiki moja iliyopita mjini Zanzibar.
Vurugu hizo ziliibuka Oktoba 17 mwaka huu baada ya kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMUIKI) Sheikh Farid Ahmed Hadi kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Oktoba 16, mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa bahari mjini hapa jana, kijana aliyenusurika kuuawa, Salum Bakari Muya alidai aliteswa kwa kukatwa ngozi kwa kisu kichwani na kasha kunyonyolewa nywele polisi ambao pia walikuwa na silaha.
Sehemu ya ngozi aliyokatwa kijana huyo na jeshi la polisi
Alisema kabla ya kukutwa na tukio hilo alikuwa amekaa na wenzake wakiwa wanasubiri tenda ya mizigo ya kusafirisha kwa kutumia magari ya punda.
Nilikuwa nabangaya yaani kubangaiza wakatokea polisi sita, walipofika nilipokaa wakanifunua kofia na kunikata kipande cha ngozi na nywele kichwani kwa kisu, alisema Salum.
Alidai polisi waliomfanyia ukatili huo ni wa kikosi cha FFU na kwamba baada ya kitendo hicho waliamua kumpeleka kituo cha afya cha JKU kilichopoa Saateni kwa matibabu ya awali.
Salum alidai kuwa baada ya kupata matibabu katika kituo hicho cha JKU iliamriwa kwamba apelekwe Hospitali Kuu ya Mnazimoja kwa vile alikuwa anavuja damu nyingi.
Hata hivyo alisema alishangaa kabla ya kufika Mnazimoja polisi hao waliamua kumtekeleza katika eneo la kwa Abbas Hussein, kilometa chache kutoka walipomtoa hospitali ya JKU.
Hawakunifikisha Manazimoja, wakaniacha na kuondoka huku wakisema ubaya ubaya mtakoma waambie na wenzio, alisimulia Salum akiwa na bandeji aliyofungwa wakati anapata huduma ya kwanza.
Alisema baada ya kutelekezwa na polisi aliamua kwenda Welesi huko Kikwajini kwa lengo la kuzungumza na waandishi wa habari juu ya mkasa uliompata.
Baada ya kusimulia mkasa huo, Salum ambaye alifuatana na kaka zake walioomba wasiandikwe majina baadae alipelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi.
Alipoulizwa juu ya tukio hilo, Kamishana wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa alisema bado hajapopewa taarifa na kwamba iwapo mwathirika atalalamika kituoni polisi watachukua hatua ya kucunguza.
Tumezoea kulalamikiwa, kama mtu amefanyiwa ukatili kwanini asiripoti kituo cha polisi, hapo ujue kuna jambo anaficha, alisema Kamishna Mussa.
Lakini baada ya kuelezwa na mwamdishi wa habari hizi kwamba kijana huyo amepelekwa hospitali na kaka zake, Mussa alisema aliahidi kufuatilia tukio hilo.
Kitendo cha Salum kufanyiwa ukatili na watu wanaodaiwa kuwa polisi kimetanguliwa na matukio ya vijana wenguine wawili kuuawa wakati wa utekelezaji wa zoezi la msako huo mjini Zanzibar mwezi Oktoba mwaka huu.
Imedaiwa kuwa Hamad Ali Kaimu aliuawa Ijumaa iliyopitama wakati akiwa mikononi kuwa polisi katika eneo la Magomeni na Salum Hassan Mahanju alikufa baada ya kupigwa risasi katika maeneo ya Amani Fresh na watu waliotajwa kuwa maofisa ulinzi na usalama.
Mbali na vijana hao, askari mmoja Koplo Said Abdulrahman aliuawa na watu wasiojulikana huko Bububu baada ya tukio la kutoweka Sheikh Farid.
Tokea kuanza kwa vurugu hapa Zanzibar jumla ya watu watatu wamefariki ikiwa mmoja ameuwa na watu wenye hasira huku jeshi la polisi likidaiwa kuwauwa vijana wawili hali sio shuwari kufuatia unyanyasaji na ukiukwaji wa haki za binadamu unaodaiwa kufanywa na jeshi la polisi kwa kisingizio cha kuwatafuta wahahalifu.Wakati jeshi la Polisi visiwani Zanzibar likiendelea kuwasaka wahalifu, baadhi ya wananchi wamejitokeza kulalamikia juu ya operesheni hiyo ikiwemo ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na jeshi hilo uliosababisha kifo cha kijana mmoja akiwa mikononi mwa polisi. Bonyeza hapa kupata taarifa hiyo.
Kufuatia kadhia hiyo DW ilimtafuta Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa na alikuwa na haya ya kusema Bonyeza hapa Tafadhali.
Acheni Majungu bana mboma alipokufa polisi hzo mbwembwe m sikuziona kabisa za hao wanaojiita haki za binadamu mbna hamkujitokeza adhalan
Sasa wewe utakuwa na tofauti gani na hao wanafiki? Nilifikiri labda wewe ungelaani hili kama ulivyolaani lile la askari kuuliwa! Kazi ipo kweli Tanzania.Acheni unafiki na majungu yenu,.., pale polisi alipouawa sikusikia kabisa kelele zenu kwan wao ndo wanamiili ya chuma....,ebu tuache nao wafe kidogo m sina cha kusema hapo..,.eti oooh haki za binadamu zpo kwa raia tu.. Mbna sikuwasikia kabisa
Kila mtu na imani,uislamu sio kusuka nywele wa kuvuga ndevu,uislamu upo katika metendo ambayo allah ameyaamrisha matendo hayo kuyafuata na kuyatekeleza,ukisema ndevu au nywele ni uislamu,mungalie muambaji wa america RICK ROSS,au pia muislamu ?
Kufuga ndevu ni sunna tu za mtume wetu muhammad S.A.W .
ni vizuri ukapost comment baada ya pombe uliyokunywa na bangi uliyovuta kuisha.
you wrote kinyesi. period.