Akilihuru
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 1,447
- 2,838
Kwema wakuu,
Wengi tulijua tu kwamba jeshi la Kenya halitaweza hata kurusha jiwe kwa kundi hilo la waasi wa M23, kutokana na jeshi hilo kuliogopa vibaya kundi hilo. Sasa hali inazidi kuwa mbaya na kundi hilo linazidi kuteka maeneo mbele ya macho ya jeshi la Kenya huku Wakenya wakiangalia tu.
Waasi wa M23 wanadai kuuteka mji wa Kitshanga/Kitchanga katika eneo la Masisi nchini DR Congo baada ua siku tatu za mapigano makali.
Mashirika ya Kiraia na Majeshi ya Umoja wa Mataifa nchini DRC yamelaani mashambulizi ya kijeshi ya M23, ambayo sasayamesukuma zaidi ya raia laki nne kuyakimbia makazi yao.
Redio ya Okapi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti kuanguka kwa Kitshanga kwa waasi.
Wengi tulijua tu kwamba jeshi la Kenya halitaweza hata kurusha jiwe kwa kundi hilo la waasi wa M23, kutokana na jeshi hilo kuliogopa vibaya kundi hilo. Sasa hali inazidi kuwa mbaya na kundi hilo linazidi kuteka maeneo mbele ya macho ya jeshi la Kenya huku Wakenya wakiangalia tu.
Waasi wa M23 wanadai kuuteka mji wa Kitshanga/Kitchanga katika eneo la Masisi nchini DR Congo baada ua siku tatu za mapigano makali.
Mashirika ya Kiraia na Majeshi ya Umoja wa Mataifa nchini DRC yamelaani mashambulizi ya kijeshi ya M23, ambayo sasayamesukuma zaidi ya raia laki nne kuyakimbia makazi yao.
Redio ya Okapi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti kuanguka kwa Kitshanga kwa waasi.