Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
1. JERICHO -PALESTINE
Baadhi ya wataalamu hudai kuwa huu ndio mji mkongwe zaid duniani...mji huu ulikuwepo zaidi ya miaka 6800 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Wataalamu wanasema kuwa hapo awali watu waliishi kwa kuhamahama kwahyo mji wa Jericho ndio ulikuwa wa kwanza duniani kwa watu kuanzisha makazi na kutoka kuishi maisha ya uwindaji na kuanza maisha ya kulima Kwahyo tunaweza kusema ndio mji ulioanzisha USTAARABU WA DUNIA
Ndani ya mji huu ndio pia kuna vilima ambavyo Yesu kristo alijaribiwa na shetani (mount of temptation) Lakini pia ndani ya mji huu ndio inasemekana kuna kaburi la Nabii Musa
Pia mji wa Jericho ndio mji wa kwanza duniani kuzungushiwa ukuta (walled city)
Licha ya kuharibiwa na kutengenezwa tena zaidi ya mara moja lakini mji huu hadi leo hii bado unakaliwa na watu... Inasemekana ni makazi ya WAtu zaidi ya elfu 20
Baadhi ya wataalamu hudai kuwa huu ndio mji mkongwe zaid duniani...mji huu ulikuwepo zaidi ya miaka 6800 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Wataalamu wanasema kuwa hapo awali watu waliishi kwa kuhamahama kwahyo mji wa Jericho ndio ulikuwa wa kwanza duniani kwa watu kuanzisha makazi na kutoka kuishi maisha ya uwindaji na kuanza maisha ya kulima Kwahyo tunaweza kusema ndio mji ulioanzisha USTAARABU WA DUNIA
Ndani ya mji huu ndio pia kuna vilima ambavyo Yesu kristo alijaribiwa na shetani (mount of temptation) Lakini pia ndani ya mji huu ndio inasemekana kuna kaburi la Nabii Musa
Pia mji wa Jericho ndio mji wa kwanza duniani kuzungushiwa ukuta (walled city)
Licha ya kuharibiwa na kutengenezwa tena zaidi ya mara moja lakini mji huu hadi leo hii bado unakaliwa na watu... Inasemekana ni makazi ya WAtu zaidi ya elfu 20