Naomba kwa mwana jf yoyote anayejua huyu msanii wa nyimbo za injili Jennifer Mgendi ni mtu wa wapi yaani asili yake ni mtu wa mkoa gani?yeyote anayemjua naomba anifahamishe.
******
Lizzy umenichekesha sana best!...!Hahhaha.....m‘kwere sio!!
Lizzy umenichekesha sana best!...!
Huoni kuwa hilo ****** neno ni tusi?
Usilitaje bana utakula ban!
Naomba kwa mwana jf yoyote anayejua huyu msanii wa nyimbo za injili Jennifer Mgendi ni mtu wa wapi yaani asili yake ni mtu wa mkoa gani?yeyote anayemjua naomba anifahamishe.
Ni Mchaga kutoka wilaya ya Hai Bomang'ombe.na wewe ni raia wa nchi gani naamini si Matanzania.