Mnataka Da Jenny alione bunge lijalo katika tiviii siyo?
Vyovyote vile, kwani hata wananchi siku hizi nao wameamka, usipotimiza wajibu wako utaliona kwenye TV tu? Mi namfagilia haswaaa! Kwani katimiza wajibu wake.
Na hii ni changamoto kwa wabunge wengine wote, msisahau kwamba tulio wapa tiketi ya kwenda kwenye jumba hilo ni sisi wananchi, badala yake mna fika huko mnakuwa wanafiki, eti mnamalizana pembeni! what is that?
Kama kuna kumalizana pembeni basi haina haja ya kuwa na kipindi cha bunge.. waende wamalizane huko huko pembeni!