Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Kama ni hivi, basi kuna umuhimu wa kuifanya elimu ya kidato cha nne kuwa mandatory kwa kila mtanzaniaKwa mijibu wa Programu ya Kuboresha Utumishi wa Umma, PSRP, serikali, haitoi tena ajira kwa darasa la saba. Na wa kidato cha nne, lazima wawe wamehijimu kijikozi chochote kingine.