Jenista Joakim Mhagama

Kwa mijibu wa Programu ya Kuboresha Utumishi wa Umma, PSRP, serikali, haitoi tena ajira kwa darasa la saba. Na wa kidato cha nne, lazima wawe wamehijimu kijikozi chochote kingine.
Kama ni hivi, basi kuna umuhimu wa kuifanya elimu ya kidato cha nne kuwa mandatory kwa kila mtanzania
 
There you go. Je ni wajibu wa waziri kuuliza qualifications za watu au ni wajibu wa watu kuakikisha kuwa qualifications zao zinatambulika? Vilevile unaruka swali langu la kuhusu shule wanazaofundisha?

Hivi kuna mjinga yeyote duniani anayeweza kuikumbusha mamlaka juu ya staili yake bila ya kutoa vithibitisho kuwa anastaili hiyo staili?
 
Kumbe nyie wote hamjui.... Subirini kuna mtu atakuk hapa na kuwaelezea kuwa kabla ya kikao cha Bunge huwa wanakaa na mazungumzo yanakua hivi 'mwenyekiti' "sasa wewe Jenista tunakaribia uchaguzi na hata hujasikika ukistua bungeni.Sasa tukifika pale we Mletee Da' Ghasia kelele ambazo kila gazeti litaweka habari yako ukurasa wa mbele....halafu we Hawa jidai kama umekasirika hata kuongea huwezi..hata ikiwezekana na Machozi yakutoke. Halafu kesho itakua zamu ya nani aah nani huyu ...huyu nanii bwana!" Mwisho wa kunukuu... Bora nijisomee zangu Hadi thi za "mashimo ya mfalme Suleiman" kuliko kuangalia this boring movie called Bunge

Weekend ilishaanza?
 
Ahaa!!! mwacheni mwenzenu atumie nafasi aliyonayo na vipaji vyake kufikia malengo yake!! (joke)

hata mm nitashangaa sana kama huyu mama hatokuwa na mambo ya kinyume kinyume. Nakumbuka nikiwa namsaidia kazi yake muhimu pale Dodoma, alinisaliti kwa kunidanganya, lakini baadaye akaona aibu baada ya uongo wake kubainika. Aliniambia yuko njiani kwenda dar, lakini nilipofika mahala fulani pale pale Dodoma, nikiwa sijakaa sawa akaingia na kutahayari, akisema, "kaka samahani, nitakutafuta baadaye" na hakunitafuta tena, nikamsamehe na kuendelea kumsaidia bila ushirikiano wake. Nikaifanya kazi yake kwa msaada wa watu wengine na yeye baadaye akanipigia simu, "nashukuru sana, imenisaidia sana." nikamwambia asijali, tuko kulitumikia taifa. Kwa ufupi si mwadilifu hata kidogo


hana lolote huyu na yeye ni wale wale...anaongea sana then when it comes to maamuzi hamna analofanya!!! asingepitisha hata hiyo bajeti sasa kama alikuwa na machungu kweli....
wivu tu umemjaa sijui alitaka yeye ndo apewe wizara ya utumishi au?
 
Huyu dada Jina la awali ni Jenista Ngonyani,Mama yake alikuwa ni mwenyekiti wa UWT mkoa wa Ruvuma miaka kadhaa ya nyuma. Alisoma Diploma ya ualimu katika chuo cha ualimu Korogwe na baadae akawa mwalimu katika shule ya wasichana ya Songea. Aliolewa na Bwana Mhagama mwaka 1992 kwa sherehe ya kufana sana. Mhagama alikuwa ni mhasibu katika idara moja ya serikali. Alituhumiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za umma na baadae akabigwa chini.

Kwa sasa huyu dada haishi na mumewe, amenunua nyumba hapo Dom, akitunzwa na wazee. Dada ni mwana mtandao ambaye jina lake kama mambo yangekwenda vizuri lilikuwa linakuwa siku hadi siku. Haya mageuzi ya wapiganaji wachache wa ufisadi yanazidi kumuweka katika hali ambayo siyo nzuri sana, na ni kama ile ndoto ya kwenda juu inaanza kufifia.

Huyu ndiye Jenista Ngonyani.

Hana kitu kichwani anapenda tension na kujikweza anaamini alitakiwa awe waziri wakati elimu yake ndogo.pia msisahau kuwa Mheshimiwa Nchimbi ni nyumba yake ndogo hii.
 
Ni nani huyo Jenista Joakim Mhagama?

Mbunge wa Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)?

Je, ni yule yule aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu katika kipindi cha mwaka 2000-2005?

Akiwa karibu sana na viongozi wa serikali iliyopita hususan Frederick Sumaye na wenzake?

Nani anamjua vizuri huyu? Hususan katika sherehe nyingi za pale Dodoma? Nani anamjua vizuri huyu ambaye juzi alionekana kama mtetezi wa walimu wenzake wa zamani? Kwanini hasa amemsaliti mwanamke mwenzetu Hawa Ghasia?

Kuna siri gani? Waziri huwa hafanyi kazi mikoani na alipompa orodha ya walimu wenye matatizo, alijibiwa, "nimepokea siwezi kuwa na majibu hapa, ngoja niagize huko mikoani wanipe maelezo nitakupatia, sasa subiri baada ya kumaliza bajeti nitakuwa na majibu" yeye akasema, "sitasubiri, leo leo nitakulipua".... sasa alikuwa na haraka gani?

Je, lengo ni kulipua, ama kupata ufumbuzi wa tatizo? Je, huo ndio utaratibu wa zimamoto? kama yeye alikaa na hayo majina kwa miezi mitatu bila kupata majibu, imekuaje amtake mwenzake awe na majibu ya vijiji vya Songea papo kwa papo?

Kwa maoni yangu, huu sasa ni mchezo wa kukata tamaa na kutafuta wachawi kwa matatizo ya wabunge wetu ambao wameshindwa kazi majimboni. Baadhi watatumia kiini macho cha kufuatwa fuatwa na maadui zao, wako watakaosingizia wanaotaka ubunge 'wao' lakini je, kuna mwenye HAKI MILKI YA UBUNGE? Kama wameshindwa waache wenye uwezo waingie jimboni na kama mtu ulishindwa kwa miaka minne kufanya kazi jimboni, huwezi kupiga kelele bungeni kipindi kilichobaki ukafanikiwa. Waende majimboni kufanya kazi na wananchi na si kupiga kelele

Da Tina,

tuwe waadilifu na watenda haki tunapojadili mambo wanayoyafanya watu wengine tukidhani kuwa hawatendi haki.

Kama sisi wenyewe hatutajadili kwa haki na uadilifu, basi hatufai kuonekana tunajadili haki ambayo mwingine "anajifanya" anaitenda.

Kwa hilo tatizo la Mhagama, kwa mfano, kwa nini tusijadili issue yake ilivyoshughulikiwa na Ghasia badala ya kumjadili yeye na motive yake juu ya hiyo issue? Kama inabidi kumjadili yeye binafsi na usafi wake, basi usionyeshe nia ya kuhusisha na hoja yake bungeni. Kwa kufanya hivyo, kila mtu utaona hastahili kudai haki kwa kuwa anataka kutetea ubunge wake mwakani...au kwa kuwa si msafi. Je ni kweli sisi sote ni wasafi na tuna haki ya kuwasema wenzetu wasijifanye wasafi?

After all, that is politics. sisi tulio nje ya ulingo wa siasa tunashangaa sana, lakini pale hata wasomi wakiingia, hawatofautiani na wengine. Haya mambo kwenye siasa ni ya kawaida, labda tu na wewe unayeyajadili kwa mtindo huo uwe mwanasiasa.
 
Hivi kuna mjinga yeyote duniani anayeweza kuikumbusha mamlaka juu ya staili yake bila ya kutoa vithibitisho kuwa anastaili hiyo staili?

Mkuu hapo ndo ushangae, ndo maana siku hizi haki ya mtu imebakia kutambuliwa kwa sura, kwa memo, na hata kwa pesa. Haingii akilini kwakweli.
Ukiwa mkweli waonekana mbaya eti kwanini hamkumalizana pembeni!

Pembeni hii, imetuweka pembeni kweli, hadi Ka Rwanda nako ( land locked+limited natural resources) kana tupiga bao hivi hivi!
 
Hivi kuna mjinga yeyote duniani anayeweza kuikumbusha mamlaka juu ya staili yake bila ya kutoa vithibitisho kuwa anastaili hiyo staili?

Hivi kama hawa waalimu walikuwa wameonewa, je hakuna mahakama ya kazi ya kushitaki mwajiri wao?
 
Hivi kama hawa waalimu walikuwa wameonewa, je hakuna mahakama ya kazi ya kushitaki mwajiri wao?

Mahakama ya kwanza ni hii hapa ambayo ilimtoa chozi dada Hawa, naamini atatimiza wajibu wake sasa. case closed, what a nice judicial system?

Wabunge wote wange weza itumia hii system vyema, tusingekuwa na madudu ya ajabu mengi.

 
huyu hawa ghasia wala asiwape shida jamani...analeta nyodo kwa sababu kikwete ni shemeji yake..salma kikwete na hawa ni mtoto wa mama mkubwa na wa mama mdogo..kwahiyo they are sisters...kwahiyo anakuwa na nyodo na kudharau tu kwasababu anajua hakuna atakalofanywa..kama mnakumbuka wkt wa uchaguzi kwe jimbo lake kusini huko hadi wanachama wa ccm wenyewe walikuwa hawamtaki kwasababu hawamjui..na amebebwa na kikwete na mama kikwete..kama mnakumbuka mama kikwete alikuwa atumia muda mwingi sana kule kumsaidia huyu bibie ashinde..ni dada yake..na hadi wanachama wa ccm wakalishwa kiapo..nadhan mwaikumbuka hiyo wadau..basi habari ndiyo hiyo...huyu hawa ghasia aliposhinda kwa kubebwa na kuibwa kura akapewa na uwaziri..kwahiyo sidhan mtu kama huyo atafanya kazi..keshazoea mambo ya kubebwa bebwa tu..na kwa taarifa nyingine tu ni kuwa amemtoa na mumewe huko mkoa kusini kwao..alikuwa muhasibu wa kawaida tu huko..nna mashaka na shule ya mumewe..saivi mmewe kavutwa na kuwekwa pale hazina...huyo ndiyo hawa ghasia...kwakweli analeta GHASIA SANA
 
huyu hawa ghasia wala asiwape shida jamani...analeta nyodo kwa sababu kikwete ni shemeji yake..salma kikwete na hawa ni mtoto wa mama mkubwa na wa mama mdogo..kwahiyo they are sisters...kwahiyo anakuwa na nyodo na kudharau tu kwasababu anajua hakuna atakalofanywa..kama mnakumbuka wkt wa uchaguzi kwe jimbo lake kusini huko hadi wanachama wa ccm wenyewe walikuwa hawamtaki kwasababu hawamjui..na amebebwa na kikwete na mama kikwete..kama mnakumbuka mama kikwete alikuwa atumia muda mwingi sana kule kumsaidia huyu bibie ashinde..ni dada yake..na hadi wanachama wa ccm wakalishwa kiapo..nadhan mwaikumbuka hiyo wadau..basi habari ndiyo hiyo...huyu hawa ghasia aliposhinda kwa kubebwa na kuibwa kura akapewa na uwaziri..kwahiyo sidhan mtu kama huyo atafanya kazi..keshazoea mambo ya kubebwa bebwa tu..na kwa taarifa nyingine tu ni kuwa amemtoa na mumewe huko mkoa kusini kwao..alikuwa muhasibu wa kawaida tu huko..nna mashaka na shule ya mumewe..saivi mmewe kavutwa na kuwekwa pale hazina...huyo ndiyo hawa ghasia...kwakweli analeta GHASIA SANA


Hujui ulisemalo!
 
Huyu dada Jina la awali ni Jenista
Ngonyani,Mama yake alikuwa ni mwenyekiti wa UWT mkoa wa Ruvuma miaka kadhaa ya nyuma. Alisoma Diploma ya ualimu katika chuo cha ualimu Korogwe na baadae akawa mwalimu katika shule ya wasichana ya Songea. Aliolewa na Bwana Mhagama mwaka 1992 kwa sherehe ya kufana sana. Mhagama alikuwa ni mhasibu katika idara moja ya serikali. Alituhumiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za umma na baadae akabigwa chini.

Kwa sasa huyu dada haishi na mumewe, amenunua nyumba hapo Dom, akitunzwa na wazee. Dada ni mwana mtandao ambaye jina lake kama mambo yangekwenda vizuri lilikuwa linakuwa siku hadi siku. Haya mageuzi ya wapiganaji wachache wa ufisadi yanazidi kumuweka katika hali ambayo siyo nzuri sana, na ni kama ile ndoto ya kwenda juu inaanza kufifia.

Huyu ndiye Jenista Ngonyani.

Weye wamfahamu vyema huyu dada. Mimi nilisoma na kaka yake, ambaye pia alikuwa rafiki yangu. Kwa jinsi hiyo nami nimemfahamu huyu mbunge wetu wa Peramiho toka akiwa shule ya msingi.

Alikuwa nyumba ndogo ya Sumaye. Labda ndiyo sababu ya kutofautiana na mumewe? Mnaotokwa na udenda, karibuni.

Katika sakata la sasa na waziri mwenye ghasia, kuna mambo kadhaa yawezekana. Mosi ni personal bifu. Maana wote wawili hawajambo. Huyu Ghasia namfahamu kiasi, kwani tumekuwa wote pale Mzumbe, japo katika nafasi tofauti. Madaraka ni uwezekano mwingine pia.

Kila mmoja anajidai kwa sababu ya nguvu zilizo nyuma yake. Jenista anaamini anaweza kusonga mbele zaidi ya pale alipo. Suala la kuukosa ubunge sidhani kama lipo. Labda huko kwenye kura za maoni. Lakini huko Peramiho, she is their queen. Wapiga kura wake hawawezi kuelewa kama Jenister hatagombea tena.
 
Sio kweli mumewe anaitwa Yahya Mhata na ni afisa wetu wa ubalozi India. TFF alikuwa zamani


wanasiasa wanamama bwana matata kweli...thats why siku huyu mama lao hapa nyumbani akiingia siasa ataikuta talaka mlangoni......,,yaani umemtunza mkeo mpaka anakuwa waziri ...na yeye anajifanya anakusaidia upande cheo ...matokeo unapelekwa UBALOZINI INDIA....sasa yeye anabakia na nani...nadhani ingekuwa wakati wa mzee kula matunda ya kazi yake sasa...maana haya maisha ya siasa yana kupanda na kushuka ....sasa akishindwa ubunge siku moja ...au asipogombea ndio atapigania mumewe arudishwe tanzania??.....

the other friend of mine ...alimsomesha mkewe hadi chuo kikuu kwa shida sana..akamtafutia na kazi...,baada ya hapo wakati anaaza kula matunda ...mkewe akapelekwa nje ya nchi kikazi...akaja kugundua kitu kibaya na bosi wa mkewe ..and it ended up just like that...the guy is now retired and frusrated....pamoja na pesa nyingi anazotumiwa na mkewe na magari mengi ...he is never the happy man ....!!

anyway was joking on mamaaa..i mean isitukatishe tamaa kuwaunga mkono wake zetu wapande ...kwani si wote wanaotuacha kwenye mataa kiakili wakishafika juu..afreral hata wanaume wengi ndo tunaona ni halali yetu kuwakimbia kinamama.....[lakini uzuri tunaenda nyumba ndogo na kurudi....heshina ya mama ipo palepale...tatizo wanaume hatuwezi kuvumilia tunaposikia mabaya ya wake zetu...ila sisis always tunavumiliwa..na tunashukuru kwa hilo}
 
wanasiasa wanamama bwana matata kweli...thats why siku huyu mama lao hapa nyumbani akiingia siasa ataikuta talaka mlangoni......,,yaani umemtunza mkeo mpaka anakuwa waziri ...na yeye anajifanya anakusaidia upande cheo ...matokeo unapelekwa UBALOZINI INDIA....sasa yeye anabakia na nani...nadhani ingekuwa wakati wa mzee kula matunda ya kazi yake sasa...maana haya maisha ya siasa yana kupanda na kushuka ....sasa akishindwa ubunge siku moja ...au asipogombea ndio atapigania mumewe arudishwe tanzania??.....

the other friend of mine ...alimsomesha mkewe hadi chuo kikuu kwa shida sana..akamtafutia na kazi...,baada ya hapo wakati anaaza kula matunda ...mkewe akapelekwa nje ya nchi kikazi...akaja kugundua kitu kibaya na bosi wa mkewe ..and it ended up just like that...the guy is now retired and frusrated....pamoja na pesa nyingi anazotumiwa na mkewe na magari mengi ...he is never the happy man ....!!

anyway was joking on mamaaa..i mean isitukatishe tamaa kuwaunga mkono wake zetu wapande ...kwani si wote wanaotuacha kwenye mataa kiakili wakishafika juu..afreral hata wanaume wengi ndo tunaona ni halali yetu kuwakimbia kinamama.....[lakini uzuri tunaenda nyumba ndogo na kurudi....heshina ya mama ipo palepale...tatizo wanaume hatuwezi kuvumilia tunaposikia mabaya ya wake zetu...ila sisis always tunavumiliwa..na tunashukuru kwa hilo}

Mkuu,

Acha kutu tukania dada na mama zetu, usaliti katika masuala ya ndoa unatokea kwa pande zote mbili waume na wake na usichukue isolated cases na kuwahukumu watu wote. Umetoa mfano wa rafiki yako alie msomesha mkewe mpaka chuo kikuu na baada akamsaliti mumewe iweje case hiyo moja au kama kuna nyingine 100 ndio iwe hukumu kwa akina mama zaidi ya milioni 20 Tanzania? Je na mimi nikitoa mfano wa "rafiki" yangu alianza ground zero na mkewe na baada ya kupata ulaji akamtupa na kuchukua totoz itatosha kuwa ni hukumu kwa wanaume wote?

Ni muhimu tuwe makini katika masuala ya ndoa za watu hili jamvi ni kubwa na linasomwa na wengi, sikutarajia mtu calibre ya Philemon Michael kutoa maoni ya ki ze utamu utamu. Tokea awali ulianza kupotosha na kumtaja mumewe Ghasia kwa jina silo umesahihishwa sasa unakuja na blah blah za "rafiki" yako.
 
Mkuu,

Acha kutu tukania dada na mama zetu, usaliti katika masuala ya ndoa unatokea kwa pande zote mbili waume na wake na usichukue isolated cases na kuwahukumu watu wote. Umetoa mfano wa rafiki yako alie msomesha mkewe mpaka chuo kikuu na baada akamsaliti mumewe iweje case hiyo moja au kama kuna nyingine 100 ndio iwe hukumu kwa akina mama zaidi ya milioni 20 Tanzania? Je na mimi nikitoa mfano wa "rafiki" yangu alianza ground zero na mkewe na baada ya kupata ulaji akamtupa na kuchukua totoz itatosha kuwa ni hukumu kwa wanaume wote?

Ni muhimu tuwe makini katika masuala ya ndoa za watu hili jamvi ni kubwa na linasomwa na wengi, sikutarajia mtu calibre ya Philemon Michael kutoa maoni ya ki ze utamu utamu. Tokea awali ulianza kupotosha na kumtaja mumewe Ghasia kwa jina silo umesahihishwa sasa unakuja na blah blah za "rafiki" yako.


Heshima mbele mkuu Masatu.Mkuu Philemon Michael hana tatizo mzee kama unataka tumwage mifano zaidi sema.




Africa's highest-ranking female politician has spoken out about the beatings which she said were responsible for her separation from her husband.


Why should I continue staying with a man who beats me?

Specioza Kazibwe
Ugandan vice president
Uganda's Vice-President, Specioza Kazibwe, said that she had been forced to throw her engineer husband out of their house - which she had built - when she decided enough was enough.

Her comments have caused a stir in a country where the subject is largely taboo.

"Why should I continue staying with a man who beats me?" she was quoted by the New Vision newspaper as telling women legislators.

"I told him - how can you beat a vice president?"

Husband's challenge

Wife-beating is not uncommon in Uganda where culture dictates that a man overrules a woman in every decision in a home.


Specioza Kazibwe: Breaking the tradition (Picture courtesy of New Vision)

For his part Mrs Kazibwe's estranged husband, Charles Kazibwe, told New Vision that in the 10 years of their married life, he had only slapped her twice.

Mr Kazibwe has challenged his wife "to produce evidence of any harm inflicted".

"She had come home late at three in the morning and could not give a satisfactory reason," he said.

"She had teamed up with some women politicians of whom I did not approve, and they went out a lot," he explained.

"Misleading"

In the streets of the Ugandan capital, Kampala, the reaction to Mrs Kazimbwe's revelations has been varied.

Many think that it was improper for the vice president to have aired her dirty laundry in public.




Women are told to respect their husbands even if they are abused or beaten up

North Ugandan woman
One man said that Mrs Kazibwe's response to her husband's beating is misleading other women.

"She has all the assets - money and a house that can maintain her until she dies. But these poor women if they chuck out their husbands, where will they go?" he asked.

He added that wife beating is very common and "she was just given a slap".

Breaking taboos

Mrs Kazibwe should have kept it in the family, said one woman, Diana.

"She is the vice-president of Uganda. People will start asking whether such a thing can really happen in such a person's home".

"I come from north of the country, where women are told to respect their husbands even if they are abused or beaten up," Diana added.

"I am happy with the tradition because men are more superior to us and I think, without men, we would not be what we are now."



Now that the vice-president whom they respect has spoken out about wife beating in public, more women will discuss the issue openly

Jennifer
But Justine praised the vice-president for her courage in coming out in the open and talking about domestic violence which many women experience in their marriages.

"I think she did the right thing - to come out with it in public on behalf of other women. Maybe something will come out with it."

Another woman, Jennifer said that men, have for a long time been mistreating women who always keep quiet.

"But now that the vice-president whom they respect has spoken out about wife beating in public, more women will discuss the issue openly."

But others feel that Mrs Kazibwe's revelation could have an adverse reaction and "encourage more husbands to be more violent".

"Well they would say, if the vice-president can be beaten up - who are you not to respect that?" commented Phillip from Kampala.
See also:


15 Mar 02 | Africa
Sudan lets Uganda go after rebels
04 Mar 02 | Africa
Ugandan army pursues rebels into Sudan
12 May 01 | Africa
Uganda 'ready' for Sudan ties
06 Jan 00 | Africa
Uganda's fight for its children
07 Mar 02 | Country profiles
Country profile: Uganda
Internet links:


Uganda Government
New Vision Newspaper

The BBC is not responsible for the content of external internet sites

Top Africa stories now:


Huge challenge for African Union
Kenya hit by malaria epidemic
New hope for Aids vaccine
Winnie Mandela faces fraud trial
Ratsiraka moots Madagascar return
Nigerian woman fights stoning
Opposition attacks Ivory Coast poll
African Union replaces dictators' club

Links to more Africa stories are at the foot of the page.
 
Back
Top Bottom