mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 721
- 982
Usipoziba ufa utajenga ukutaa
Ina-bore kinoma,mwezi sasa kila nikifungua video inaniletea vitu vya ajabu ajabu.Siku hizi JF huwezi view video...???
Hii ni matokeo (laana) ya kuchanganya sukari na chumvi kwenye pilau la msiba.Habari Wana Bodi,
kutokana na taarifa/picha nlizopata kutoka Zanzibar (Kwa Rafiki Alie Kwenye Mapumziko Ya Xmass) muda huu jengo la Baytul Ajaab Zanzibar limeanguka upande mmoja, inasememkana watu 6 wamefukiwa na kifusi cha mnara pamoja na upande wa nyumba ulioanguka.
updates
View attachment 1658943View attachment 1658944View attachment 1658946View attachment 1658947
Nasikia mwarabu mwaka juzi alitaka kuleta wakandarasi toka nje waje kulikarabati kisasa, serikali ikagoma, wakasema wapewe wao hela ili walikarabati.Sasa tokea mwaka 18 na ngapi sijui.Acha lianguke. Walikuwa hawafanyi rénovation?Majengo ya mwarabu hakuna uimara.
Tabu ya waswahili.Sultan wa Oman atatuma watu waje kujenga kumbukumbu ya babu zake.Nasikia mwarabu mwaka juzi alitaka kuleta wakandarasi toka nje waje kulikarabati kisasa, serikali ikagoma, wakasema wapewe wao hela ili walikarabati.
Mwarabu akamwaga mabilioni mengi sana ili ifanyike hio renovation, ila watu wamekula.
haya majengo yanahitaji ma expert waje kuyaludishia sema nchi zetu hizi janja janja nyingi na UNESCO wanatoa pesa nyingi sana kuya maintain haya majengo lakini hakuna linalofanyikaTabu ya waswahili.Sultan wa Oman atatuma watu waje kujenga kumbukumbu ya babu zake.
Njoo PM tukusaidieIna-bore kinoma,mwezi sasa kila nikifungua video inaniletea vitu vya ajabu ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hebu nitajie umri wa hili jengo kesha tuone kama limekuwa historia au ni la miaka mi2 kama unavohisi majengo ya warabu sio imara🐸🐸Sasa tokea mwaka 18 na ngapi sijui.Acha lianguke. Walikuwa hawafanyi rénovation?Majengo ya mwarabu hakuna uimara.
Jumba hilo maarufu kama Beit-al-Ajaib kwa lugha ya Kiarabu lilijengwa mwaka 1883 ambapo ni miongoni mwa vitu vya kipekee vinavyopatikana katika visiwa vya Zanzibar na limehifadhi kumbukumbu na historia ndefu kuhusu ubunifu na maendeleo ya Zanzibar.Sasa tokea mwaka 18 na ngapi sijui.Acha lianguke. Walikuwa hawafanyi rénovation?Majengo ya mwarabu hakuna uimara.