- Thread starter
- #21
Hii imethibitishwa na Gazeti la Dar leo
Akhsante sana Mkuu Fidel,
Namwataka Fataki, Watu na Shy warudi hapa jukwaani tuwasikie tena.Zaidi namtaka Fataki ambaye nilimwambia kama kweli yeye ni muungwana katika jukwaa hili itabidi aniombe radhi baada ya kupata udhibitisho kamili.