Jengo la kitengo cha ukimwi Muhimbili lililopo jirani kabisa na Richmond Tower linawaka moto sasahivi.
Mwenye habari zaidi aweke hapa.
Kuna mtu nimeongea nae yuko hatua 10 toka jengo hilo anasema hamna kitu
Jengo la kitengo cha ukimwi Muhimbili lililopo jirani kabisa na Richmond Tower linawaka moto sasahivi.
Mwenye habari zaidi aweke hapa.
Kuna mtu nimeongea nae yuko hatua 10 toka jengo hilo anasema hamna kitu
Huyo ndiye Shy, mmemsahau?Shy usianze ku chenji stori sasa, umesema jengo haliungui.
Halafu unaanza kuleta za jengo zima vs. kipande...
Moto umezimwa, bahati nzuri fire briged wako karibu, wameweza kuwahi. Hata hivyo kwa wale waliokuwa kwenye semina kwenye jengo hilo wameahirisha mpaka j3 ili kupisha uchunguzi wa chanzo cha moto.
Shy, mtu wako aliyeko mita kumi kutoka hapo anasemaje?
Mke wangu anahudhuria semina kwenye jengo hilo, kanipigia simu saa mbili na dak. 32 asubuhi ya leo kwamba wamekimbilia nje baada ya jengo kuanza kuungua moto.
Sina nia kabisa ya kukukorofisha na mkeo ndugu yangu Kashaija, ila inawezekana kabisa mkeo hayupo hapo, yupo sehemu nyingine nyeti, anataka tu usiwe shingo feni, ukazie macho Muhimbili near Richmond Tower.Mke wangu anahudhuria semina kwenye jengo hilo, kanipigia simu saa mbili na dak. 32 asubuhi ya leo kwamba wamekimbilia nje baada ya jengo kuanza kuungua moto.
Sina nia kabisa ya kukukorofisha na mkeo ndugu yangu Kashaija, ila inawezekana kabisa mkeo hayupo hapo, yupo sehemu nyingine nyeti, anataka tu usiwe shingo feni, ukazie macho Muhimbili near Richmond Tower.
Mkeo mbea ...
Mkeo mbea ...
Sina nia kabisa ya kukukorofisha na mkeo ndugu yangu Kashaija, ila inawezekana kabisa mkeo hayupo hapo, yupo sehemu nyingine nyeti, anataka tu usiwe shingo feni, ukazie macho Muhimbili near Richmond Tower.
Last Updated on: 21.11.2008 0236 EAT (1802 GMT)
•
Moto wazua tafrani Chuo Kikuu Muhimbili
Na Waandishi Wetu, Muhimbili
CHUO Kikuu cha Muhimbili sehemu ya Utafiti wa UKIMWI kimenusurika kuteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme iliyozuka ghafla na kuzua tafrani kwa wanafunzi wa chuo hicho.
Moto huo umezuka leo asubuhi ambapo imedaiwa kuwa ulianzia kwenye 'main switch' .
Kitengo hicho kinachojihusisha na masuala ya UKIMWI kinaendeshwa kwa ushirikiano na na Chuo Kikuu cha Havard cha Marekeni.
Waandishi wa gazeti hili walifika eneo la tukio na kukuta Kikosi cha Zima Moto cha Kampuni ya Ultimate Security wakizima moto huo.
Baadhi ya magari ya kampuni hiyo yaliyofika eneo la tukio T 328 ATU, T 689 AGA ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walifanya kila jitihada za kuzima moto huo.
Baada ya kupita dakika kadhaa ndipo Kikosi cha zima moto cha Halmashauri ya jiji kilifika eneo la tukio ambapo walikuta tayari moto huo umezimwa.
Kuna mtu nimeongea nae yuko hatua 10 toka jengo hilo anasema hamna kitu