Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
mi naona huu muungano una matokeo matatu kwanza serikali tatu, pili serikali moja, tatu usiwepo.
turudi kwenye tanganyika yetu kwanini tunaiogopa hata kuitamka tu naona viongozi wanaita tanzania bara kwani znz iliungana na tanzania bara?? tukae chini tujadiliane Tuamue moja mapema tuokoe muda na mawazo yetu tuyapeleke kwenye maendeleo tusipotezeane wakati kwa vitu vilivyo wazi
turudi kwenye tanganyika yetu kwanini tunaiogopa hata kuitamka tu naona viongozi wanaita tanzania bara kwani znz iliungana na tanzania bara?? tukae chini tujadiliane Tuamue moja mapema tuokoe muda na mawazo yetu tuyapeleke kwenye maendeleo tusipotezeane wakati kwa vitu vilivyo wazi