Katika kipindi cha majadiliano leo saa kumi na mbili jioni kilichorushwa na Sauti ya Ujerumani kikishirikisha jopo la watu wanne Jenerali Ulimwengu amekuwa muwazi na kusema kuwa huwezi kujadili katiba mpya bila kujadili muungano kwa uwazi. mwandishi Salim kutoka Zanzibar kasema haiwezekani mtu atoe amri kuwa lolote mnaweza kujadili isipokuwa uwepo wa muungano. Kwa maoni ya wana jopo mjadala wa kitaifa ufanyike na watu waulizwe kama wanautaka muungano au la na kama wanautaka uwe wa muundo gani.
Na wana JF mnasemaje?
Na wana JF mnasemaje?