Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,486
Just to make my point clear naomba angalia na hapa
Hapo inaonekana kwamba the works of art / talent ni some sort of upuuzi au some minor work.., ambapo sio kweli kila kazi ina faida zake.., kwahio hapa nadhani kwa mfano wa juu tungesema mpuuzi ni yule ambaye hafanyi kazi zake bali anakuwa mtu wa burudani au kuangalia burudani na sio mtoa burudani..
Kwahio kama wakuu wa nchi wanakula bata badala ya kufanya kazi basi wapuuzi ni wakuu wa nchi na sio mtoa bata (bali mla bata bila kuzalisha bata)
Unajua hata mimi nimeliona hili, nikataka ku critique, nikaona ngoja niangalie wengine watasemaje (Kiranga kimepause for once!)
Ukweli ni kwamba Ulimwengu hata kama ana a bigger, more general valid point, hii simplification ya kui denigrade art kama upuuzi amechemsha.
Kuna watu wanaoweza kumwambia hata yeye kama muandishi ni artist, kwa hiyo kama art ni upuuzi, hata anachofanya yeye ni upuuzi.
I like my articles crisp, and this feels like it was hurried to meet a deadline.
To the extent of reeking snobbery.
And such a put down for Congo, I mean I could understand if this was about the leaders, but he hammered a whole society with vast generalizations.
And this guy was supposed a huge Pan-Africanist!