kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Watu tuliaminishwa na watu wengine kuwa mobutu alikuwa Rais mbaya saana na yeye ndo chanzo cha vurugu za Kongo
Ndivyo tulivyoaminishwa na historia ya wazungu pamoja na historia ya watu weusi wenzetu
Kuna raia moja wa Guinea aliwahi kusema kuwa Mobutu alikuwa anatumia uchawi mweusi kuongoza Kongo alikuwa anatoa watoto wake kafara ili apate nguvu
Na mwingine kutoka Burundi aliwahi kusema Mobutu alikuwa Rais mbaya alikuwa anakula nyama za raia wake
Swali kwanini wanafanya propaganda zote hizi kwa Mobutu
Je, haya yote ni kweli?
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa historia unafuatilia video za Mobutu. Mwaka 1985 Mobutu alikuwa anafanya interview na radio kutoka Ufaransa, Kuna maswali ambayo aliulizwa kuhusu Zaire alijibu mengi
Ila nitanukuu baadhi ya jibu fulani. Alisema kuwa kama Zaire future yake itakuwa mbaya ni kwasababu ya Wabeljiji na Wafaransa pamoja na wa Marekani maana hao ndio wana mpango wa kuharibu Zaire ila kama mimi nipo madarakani hicho kitu hakiwezi kutokea kamwe
Ukitaka kupata video hii nenda YouTube
Mobutu aliwahi kusema kama wewe ni muoga huwezi kuongoza Zaire
Kuna siri kubwa hapa kati kati ya wazungu na Mobutu
Tuende kwa Wazaire wenyewe
Wazaire ukiwauliza je Rais bora wa muda wote Kongo ni nani, Watasema Mobutu
Watu husema
Congo + Zaire = Mobutu
Huyu mtu aliweza kulinda umoja wa nchi, Amani ya nchi Na kipindi kile ilikuwa fahari kuitwa mzairois
Kipindi kile Kongo ilikuwa one of the best powerful country in Africa
Nguvu zile zilikwenda wapi?
Amani ile ilikwenda wapi?
Umoja ulikwenda wapi?
Ndivyo tulivyoaminishwa na historia ya wazungu pamoja na historia ya watu weusi wenzetu
Kuna raia moja wa Guinea aliwahi kusema kuwa Mobutu alikuwa anatumia uchawi mweusi kuongoza Kongo alikuwa anatoa watoto wake kafara ili apate nguvu
Na mwingine kutoka Burundi aliwahi kusema Mobutu alikuwa Rais mbaya alikuwa anakula nyama za raia wake
Swali kwanini wanafanya propaganda zote hizi kwa Mobutu
Je, haya yote ni kweli?
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa historia unafuatilia video za Mobutu. Mwaka 1985 Mobutu alikuwa anafanya interview na radio kutoka Ufaransa, Kuna maswali ambayo aliulizwa kuhusu Zaire alijibu mengi
Ila nitanukuu baadhi ya jibu fulani. Alisema kuwa kama Zaire future yake itakuwa mbaya ni kwasababu ya Wabeljiji na Wafaransa pamoja na wa Marekani maana hao ndio wana mpango wa kuharibu Zaire ila kama mimi nipo madarakani hicho kitu hakiwezi kutokea kamwe
Ukitaka kupata video hii nenda YouTube
Mobutu aliwahi kusema kama wewe ni muoga huwezi kuongoza Zaire
Kuna siri kubwa hapa kati kati ya wazungu na Mobutu
Tuende kwa Wazaire wenyewe
Wazaire ukiwauliza je Rais bora wa muda wote Kongo ni nani, Watasema Mobutu
Watu husema
Congo + Zaire = Mobutu
Huyu mtu aliweza kulinda umoja wa nchi, Amani ya nchi Na kipindi kile ilikuwa fahari kuitwa mzairois
Kipindi kile Kongo ilikuwa one of the best powerful country in Africa
Nguvu zile zilikwenda wapi?
Amani ile ilikwenda wapi?
Umoja ulikwenda wapi?