mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Kwa ile habari ya konoike kudai cha namba tano litakuwa mwananchi1) Mwanahalisi
2) Mawio
3) Mseto
4) Raia Mwema
5)......?
Kwa ile habari ya konoike kudai cha namba tano litakuwa mwananchi1) Mwanahalisi
2) Mawio
3) Mseto
4) Raia Mwema
5)......?
Kwa kiongozi (mfano Mbowe) kuzunguuka nchi nzima kuhutubia ubora wa sera za CDM na udhaifu wa Magufuli (CCM) hiyo ni kampeni. Muda wake haujafika.Umelegezwa nati wewe...chama cha siasa chochote kina main Objective take. .. KUFANYA SIASA...sio kampein...kushawishi sera..kutoa takwimu zake kinafanya nn..kimefanyann
Hivi wewe upo Tanzania au nje ya Nchi?Ulimwengu hayupo sahihi kusema kuwa hakuna sheria inayozuia aina fulani ya mihadhara au mikutano ya siasa.
Tanzania inayo sheria ya UCHAGUZI inayoeleza ni wakati gani wa kufanya kampeni za kichama za uchaguzi. Hii mihadhara yenye maudhui ya kampeni za kisiasa katika kuwania nafasi za uongozi inakatazwa isipokuwa katika kipindi mahsusi cha kampeni za uchaguzi.
Hakuna kiongozi wa kisiasa aliezuiliwa kufanya mikutano kwenye jimbo lake. Infact wengi huita press conferences au huandika kwenye mitandao ya kijamii na maudhui yake yanawalenga Watanzania wote.
Lakini kuhamasisha wananchi nchi nzima (mfano, UKUTA) kuwataka wampinge Rais (dikteta uchwara) ni aina ya kampeni za kisiasa, na kwa bahati mbaya sheria iko wazi ni kipindi gani wanaweza kufanya hivyo.
Ukishaamini kwamba wenzako wana mabwana zao, basi na wewe una bwana wako. Shida ya watanzania ni unafiki na propaganda tuu,hawa wazee sasa wametuchosha sasa hivi kila mstaafu ni mwanaharakati.
huyu aliwahi kuhojiwa uraia wake na serikali ya awamu ya tatu.
Akiwa na kina marehemu John rutayisingwa,Marehemu Muhingo rweyemamu,Johnson bwire na wengineo ndio waliokuwa wakimiliki Habari corporation ambayo ilikuwa ikichapisha magazeti ya RAI,MTANZANIA,MWANASPOTI na mengineyo.
haya yalizoeleka na yalikubalika sana kwa wakati ule..
lakini katika hali ya kushangaza yaliuzwa kwa Rostam aziz(gwiji wa mtandao uliokuwa nyuma ya Lowassa na kikwete)hii ilikuwa ni muda mfupi kabla ya harakati za kampeni na hatimae uchaguzi uliomweka kikwete madarakani,huku waziri mkuu akiwa ni Lowassa.
Baada ya hapo j-ulimwengu akaibuka na RAIA MWEMA gazeti ambalo lipo mpaka sasa.
na ikumbukwe huko nyuma j-ulimwengu aliwahi kuwa kada mzuri wa ccm enzi za mwalimu na cheo cha mwisho alikuwa DC wa wilaya fulani ndani ya Dar es salaam.
Lakini pia ikumbukwe pia baada ya Rostam kutimkia huko ughaibuni inaaminika vyombo vyake vya habari alivyokuwa akivimiliki viko chini ya Lowassa kwa sasa.
na tukiangalia mtiririko wa baadhi ya vyombo vya habari kwa sasa vinaripoti kama vile kuna hiden agenda dhidi ya serikali na serikali inapochukua hatua kudhibiti hali hiyo,basi utasikia wanaharakati wanaporomoka kutoka kusikojulikana na kutoa mapovu ya kutosha ili tu kuwaridhisha wafadhili wanaowapa fedha za uendeshaji taasisi zao.
Je ulimwengu naye yuko upande upi?
UANDISHI?;UANAHARAKATI?
au UANASIASA?
Kama unazungumzia mihadhara ya Magufuli (CCM) nchi nzima ni kuwa ana haki ya kufanya hivyo kama Rais.Ajabu ya hiyo sheria unayoisema, inazuia vyama fulani tu.
huo ndio ukweli halisi ahsante kwa kuliona hili muhimu kwa sasa ambapo siasa za majitaka zinelekea kuhamia kwenye baadhi ya media.Tusiangalie ni magazeti mangapi yamefungiwa na serikali bali tuangalie ni magazeti mangapi yaliyopotoka kanuni za uandishi!
Ukishaamini kwamba wenzako wana mabwana zao, basi na wewe una bwana wako. Shida ya watanzania ni unafiki na propaganda tuu,
Pointi yako ni nini haswa? Unataka kujua kipi kufuatia jibu langu?Hivi wewe upo Tanzania au nje ya Nchi?
Tanzania Daima1) Mwanahalisi
2) Mawio
3) Mseto
4) Raia Mwema
5)......?
Jenerali ulimwengu1) Mwanahalisi
2) Mawio
3) Mseto
4) Raia Mwema
5)......?
Ulimwengu hayupo sahihi kusema kuwa hakuna sheria inayozuia aina fulani ya mihadhara au mikutano ya siasa.
Tanzania inayo sheria ya UCHAGUZI inayoeleza ni wakati gani wa kufanya kampeni za kichama za uchaguzi. Hii mihadhara yenye maudhui ya kampeni za kisiasa katika kuwania nafasi za uongozi inakatazwa isipokuwa katika kipindi mahsusi cha kampeni za uchaguzi.
Hakuna kiongozi wa kisiasa aliezuiliwa kufanya mikutano kwenye jimbo lake. Infact wengi huita press conferences au huandika kwenye mitandao ya kijamii na maudhui yake yanawalenga Watanzania wote.
Lakini kuhamasisha wananchi nchi nzima (mfano, UKUTA) kuwataka wampinge Rais (dikteta uchwara) ni aina ya kampeni za kisiasa, na kwa bahati mbaya sheria iko wazi ni kipindi gani wanaweza kufanya hivyo.
5.Tanzania daima5) Mwananchi
6) Tanzania Daima.
Acha kuongea ovyo wewe yule anayekaa magogoni unapajua kwao ni wapi? Nenda pale bukoba mjini watakwambiaHuyu naye si angerudi tu kwao Rwanda kama ameshindwa kuishi Tanzania atuache na utaratibu wetu!!
Kuna shida kubwa katika demokrasia yetu kwa sasa. Tunaweza kutafuta sababu nzuri za kupamba kinachoendelea, lakini hiyo haitasaidia taifa hili. Ile speech ya Kikwete kule SA kuhusu vyama vya upinzani ni relevant sana.Kama unazungumzia mihadhara ya Magufuli (CCM) nchi nzima ni kuwa ana haki ya kufanya hivyo kama Rais.
Na anachokifanya Polepole hakina tofauti na mikutano anayofanya Zitto. Hakuna shida ya kukinadi chama chako.
sisi wengine tupo na tuna kumbukumbu halisi za historia ya nchi hii na hatubadilishiwi gear angani.Ukishaamini kwamba wenzako wana mabwana zao, basi na wewe una bwana wako. Shida ya watanzania ni unafiki na propaganda tuu,
taja shule alizosomea jenerali ulimwengu?Acha kuongea ovyo wewe yule anayekaa magogoni unapajua kwao ni wapi? Nenda pale bukoba mjini watakwambia
leo anakuwa shujaa kikwete?Kuna shida kubwa katika demokrasia yetu kwa sasa. Tunaweza kutafuta sababu nzuri za kupamba kinachoendelea, lakini hiyo haitasaidia taifa hili. Ile speech ya Kikwete kule SA kuhusu vyama vya upinzani ni relevant sana.
Ndugu hii kila mtu ana haki nayo tusiishi hivi unavyomaanisha. Tunakoelekea kwa aina ya kufanya baadhi ya raia kuishi kwa hofu sio vizuriUlimwengu hayupo sahihi kusema kuwa hakuna sheria inayozuia aina fulani ya mihadhara au mikutano ya siasa.
Tanzania inayo sheria ya UCHAGUZI inayoeleza ni wakati gani wa kufanya kampeni za kichama za uchaguzi. Hii mihadhara yenye maudhui ya kampeni za kisiasa katika kuwania nafasi za uongozi inakatazwa isipokuwa katika kipindi mahsusi cha kampeni za uchaguzi.
Hakuna kiongozi wa kisiasa aliezuiliwa kufanya mikutano kwenye jimbo lake. Infact wengi huita press conferences au huandika kwenye mitandao ya kijamii na maudhui yake yanawalenga Watanzania wote.
Lakini kuhamasisha wananchi nchi nzima (mfano, UKUTA) kuwataka wampinge Rais (dikteta uchwara) ni aina ya kampeni za kisiasa, na kwa bahati mbaya sheria iko wazi ni kipindi gani wanaweza kufanya hivyo.
Weka sheria hiyo inayosema mikutano ya siasa ni wakati wa uchaguziUlimwengu hayupo sahihi kusema kuwa hakuna sheria inayozuia aina fulani ya mihadhara au mikutano ya siasa.
Tanzania inayo sheria ya UCHAGUZI inayoeleza ni wakati gani wa kufanya kampeni za kichama za uchaguzi. Hii mihadhara yenye maudhui ya kampeni za kisiasa katika kuwania nafasi za uongozi inakatazwa isipokuwa katika kipindi mahsusi cha kampeni za uchaguzi.
Hakuna kiongozi wa kisiasa aliezuiliwa kufanya mikutano kwenye jimbo lake. Infact wengi huita press conferences au huandika kwenye mitandao ya kijamii na maudhui yake yanawalenga Watanzania wote.
Lakini kuhamasisha wananchi nchi nzima (mfano, UKUTA) kuwataka wampinge Rais (dikteta uchwara) ni aina ya kampeni za kisiasa, na kwa bahati mbaya sheria iko wazi ni kipindi gani wanaweza kufanya hivyo.