Jenerali Ulimwengu: Hakuna alietajirika kwa kucheza Kamari

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu

20240220_131156.jpg
 
Mzee kateleza.Wahindi na wachina na pia watanzania wenye kampuni za kamari wanatajirika kila siku kwa kucheza kamari.
Kamari kuna anayecheza kwa kuwekeza na mteja anayecheza.Ni kulana kwa kwenda mbele.Wanaliwa na wanakula.
 
“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu

View attachment 2910018
kuna zile za sportpesa walishinda jamaa wawili wakagawana pasu nao sio matajiri kweli
 
“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu

View attachment 2910018
Kwaiyo jenelali ulimwengu Hilo ndo kalijua Leo?
 
“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu

View attachment 2910018

Ni sahihi kabisa chezeni kamari watu milioni 20 anayekuja jubatika mmoja au hakuna kabisa
 
Baba unamuaga mkeo kuwa unaenda ofisi ya betting kubahatisha.

Life is real Si kubahatisha!!
 
Back
Top Bottom