stigajemwa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 449
- 430
Nilichojifunza kwa jpm ni kwamba kuomba kuongoza nchi kunahitaji maandalizi ya muda mrefu,yaani unaingia tu tayari unakuwa ulishajipanga hivyo unaelewa kuwa unaanzia wapi na unaishia wapi.Sasa kwa huyu raisi wangu inaonekana alikuwa hana maandalizi, anaonekana alikuwa hajajipanga hali iliyosababisha mikakati yake mingi kiuongozi kuwa ya dharula ndharula,matamko- tamko na tumbua- tumbua. Mbinu hizi zote ndio zimetufikisha hapa kwenye maisha magumu,benk kufilisika,viwanda kupunguza wafanyakazi,biashara kufungwa,mizigo bandarini kupungua,watalii kupungua,maroli kusitisha safari,ajira kusitishwa,stahiki za wafanyakazi za kwa mujibu wa sheria kuzuiwa nk