M MKALIKENYA JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,196 486 Jun 25, 2012 #2 Kiongozi dhaifu,serikali dhaifu,mahakama dhaifu,jaji mkuu dhaifu,mkuu wa magereza dhaifu.
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Jun 25, 2012 #3 Hawa mafisadi wa Nchi yetu wanajifanya hawaogopi. Ila nawaambia siku ya siku kama hakuna marekebisho na hata nao watakuwa kama huyu.
Hawa mafisadi wa Nchi yetu wanajifanya hawaogopi. Ila nawaambia siku ya siku kama hakuna marekebisho na hata nao watakuwa kama huyu.