Vuai alisema Rais Jakaya Kikwete, alitoa wazo na changamoto ya dhana nzima ya kuanzishwa kwa mazungumzo ya muafaka na hajashindwa kusimamia dhamira hiyo.
"Nia ya kuwepo kwa mazungumzo ya kuleta muafaka wa kisiasa kati ya CCM na CUF yameanzishwa na Rais Jakaya Kikwete, alisema hayo huko Dodoma katika mkutano wa Bunge kwa kumuagiza katibu wa CCM kukutana na mwenzake wa CUF,â alisema Vuai.
Vuai alilazimika kutoa ufafanuzi huo, kufuatia kauli iliyotolewa na mkurugenzi wa chama cha CUF uhusiano wa kimataifa, Ismail Jussa aliyesema kwamba Rais Kikwete ameshindwa kusimamia mazungumzo ya muafaka.
Jussa alisema mazungumzo ya sasa ya kuleta maridhiano ni kwa ajili ya Wazanzibari tu na kamwe wasihusishwe watu kutoka Tanzania Bara.
Vuai alisema kauli iliyotolewa na Jussa haina nia njema ya kuleta maelewano na kujenga mahusiano mazuri ya CCM na kambi ya upinzani.
"Kauli ya kusema CCM haihusiki na mazungumzo ya maridhiano ya kisiasa Zanzibar yaliopo sasa ni sawa na kauli za uchochezi. CCM ni moja na mwenyekiti wake taifa ni Rais Jakaya Kikwete,â alisema Vuai.
Haya ni maneno ya kada mkubwa wa CCM na upande mwengine Kada mkubwa waCUF juu ya maelewano ya Karume na Maalim Seif.
Bado najiuliza iwapo jitihada hiyo ni ya Karume au ya Rais Kikwete kama malumbano hayo yanavyoonyesha. Na jee hii kwa upande wa CCM inakaaje hasa tukitilia maanani maneno ya Karume kuwa kuna watu hata upande wa CCM ambao hawaridhishwi na jitihada zake?
Makada wakubwa Pakacha, Mwiba na Junius mnasemaje?
"Nia ya kuwepo kwa mazungumzo ya kuleta muafaka wa kisiasa kati ya CCM na CUF yameanzishwa na Rais Jakaya Kikwete, alisema hayo huko Dodoma katika mkutano wa Bunge kwa kumuagiza katibu wa CCM kukutana na mwenzake wa CUF,â alisema Vuai.
Vuai alilazimika kutoa ufafanuzi huo, kufuatia kauli iliyotolewa na mkurugenzi wa chama cha CUF uhusiano wa kimataifa, Ismail Jussa aliyesema kwamba Rais Kikwete ameshindwa kusimamia mazungumzo ya muafaka.
Jussa alisema mazungumzo ya sasa ya kuleta maridhiano ni kwa ajili ya Wazanzibari tu na kamwe wasihusishwe watu kutoka Tanzania Bara.
Vuai alisema kauli iliyotolewa na Jussa haina nia njema ya kuleta maelewano na kujenga mahusiano mazuri ya CCM na kambi ya upinzani.
"Kauli ya kusema CCM haihusiki na mazungumzo ya maridhiano ya kisiasa Zanzibar yaliopo sasa ni sawa na kauli za uchochezi. CCM ni moja na mwenyekiti wake taifa ni Rais Jakaya Kikwete,â alisema Vuai.
Haya ni maneno ya kada mkubwa wa CCM na upande mwengine Kada mkubwa waCUF juu ya maelewano ya Karume na Maalim Seif.
Bado najiuliza iwapo jitihada hiyo ni ya Karume au ya Rais Kikwete kama malumbano hayo yanavyoonyesha. Na jee hii kwa upande wa CCM inakaaje hasa tukitilia maanani maneno ya Karume kuwa kuna watu hata upande wa CCM ambao hawaridhishwi na jitihada zake?
Makada wakubwa Pakacha, Mwiba na Junius mnasemaje?