Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #61
heeheh! naomba asisahaulike Mtikila kwenye special Jedwali na Milioni zake alizopewa.
awe kundi gani yeye au tuongeze jedwali la "wafadhiliwa"?
heeheh! naomba asisahaulike Mtikila kwenye special Jedwali na Milioni zake alizopewa.
awe kundi gani yeye au tuongeze jedwali la "wafadhiliwa"?
awe kundi gani yeye au tuongeze jedwali la "wafadhiliwa"?
awe kundi gani yeye au tuongeze jedwali la "wafadhiliwa"?
nafasi yake ya Ubunge inaweza kuhusishwa kwa namna yoyote na ufadhili wa Rostam?
Katika jedwali category a msipoteze muda kutaja mtu mmoja mmoja. Chama Cha Mapinduzi kilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na ufadhili wa RA.
Kwa wale wasiojua matusi ya RA katika kampeni za chaguzi ndogo waulize. Kule Kiteto RA alikodisha Helkopta kwa ajili ya kuishughulikia CHADEMA. Katika uchaguzi mdogo Tarime a,likodisha helkopta 2 kwa kusudi hilo hilo.
Itakapotakiwa tutaleta jamvini mambo ambayo RA amefadhili kwa ajili ya kuiwezesha CCM kushinda na kudumu madarakani kila mahali tutawashangaza hapa jamvini kwani tuna mengi mno ambayo masikio yakisikia yatawazsha. Inafahamika wazi kuwa amekuwa akifanya hivyo ili kupunguza au kuondoa kabisa uwezekano wa kushambuliwa dhidi ya ufisadi na wizi wake.
Wakuu heshima mbele!
..........Huyu bwana ameingia kwenye picha kipindi cha kuelekea uchaguzi 1995 kutokana na connection zake na IRAN!........ '
Hivyo yeye ndiye mastermind ya CCM nzima ofcourse plus wengine kama Nimrod, msururu wa wahindi kibao etc.
naona bado uko kwenye vitendawili na hadithi
na narudia mwacheni Mwamvita Makamba peke yake kama alivyo
Tom Mwang'onda alipewa billion moja na RA kumwangusha Mwandosya kwenye uchaguzi wa NEC na Mz apson amenufaika sana na RA- KAGODA!!!!!!!!!!!
Edward Lowassa --Mbunge wa Monduli--[a]
Peter Serukamba---Mbunge wa Kigoma Mjini--[a]
John Mwakipesile--RC Mbeya--[a]
Nchimbi --Naibu waziri Ulinzi na mbunge Songea [a]
Yusuf Makamba--Mbunge na Katibu Mkuu CCM [a]
Mbona tunajibu swali kinyumenyume!!!! Mwnkjj ameuliza nani hayumo, sie tunajikita kuwataja waliomo... ndio tutapata jibu sahihi kwa sababu baada ya kuwafahamu waliomo, hatimaye tutawajua wale ambao hawamo. lakini nadhani tutajizungusha sana kwa njia hii (ingawa ina faida kubwa). Mimi naomba nijibu swali moja kwa moja, kwa kumtaja mmoja tu ambaye nafahamu kuwa hayumo-Dr Ali Mohammed Shein