Je, WWI ilipiganwa katika Ardhi ya Tanganyika?

Mkuu,unasema meri ya kivita haikuwa na uhusiano na vita, seriously ?
During World War I the Germans converted Goetzen to an auxiliary warship under the name SMS Goetzen. They gave her a 10.5 cm (4 in) gun from the light cruiser SMS Königsberg, a ship no longer operational and which her crew later scuttled in the mouth of the Rufiji River. She also received an 8.8 cm (3 in) gun, one of two that Königsberg had brought out from Germany to arm auxiliary cruisers should the opportunity arise. Lastly, the survey ship SMS Möwe contributed two 37 mm Hotchkiss revolver guns to Goetzen's armament.[14]

The Germans appointed Oberleutnant zur See Siebel captain of Goetzen. Under his command Goetzen initially gave the Germans complete supremacy on Lake Tanganyika. She ferried cargo and personnel across the lake between Kigoma and Bismarckburg (now Kasanga, Tanzania), saving troops from a two-week overland march, and provided a base from which to launch surprise attacks on Allied troops. It therefore became essential for the Allied forces to gain control of the lake themselves.

Unachanganya mambo, umeandika kuhusu MV Liemba ambayo ni meli iliyokuwa inahudumia Ziwa Tanganyika hiyo haina uhusiano na Vita iliwekwa kabla hata ya vita kuanza na haikuwa Meli ya Kivita iliwekwa pamoja na kukamilika kwa reli inayounganisha Pwani na Bara leo tunaita reli ya kati na Kigoma ikiwa mwisho wa reli na pale Kigoma pakajengwa Bandari pia yote yalikuwa maendeleo ya kujenga infrastracture na siyo vita hata Ziwa Tanganyika ambapo Liemba ipo mpaka leo hii ni mbali kidogo na Rufiji delta ambapo vita ilifanyika.

Hivyo liemba haina uhusiano na vita na iko Ziwa Tanganyika!
 
Unachanganya mambo, umeandika kuhusu MV Liemba ambayo ni meli iliyokuwa inahudumia Ziwa Tanganyika hiyo haina uhusiano na Vita iliwekwa kabla hata ya vita kuanza na haikuwa Meli ya Kivita iliwekwa pamoja na kukamilika kwa reli inayounganisha Pwani na Bara leo tunaita reli ya kati na Kigoma ikiwa mwisho wa reli na pale Kigoma pakajengwa Bandari pia yote yalikuwa maendeleo ya kujenga infrastracture na siyo vita hata Ziwa Tanganyika ambapo Liemba ipo mpaka leo hii ni mbali kidogo na Rufiji delta ambapo vita ilifanyika.

Hivyo liemba haina uhusiano na vita na iko Ziwa Tanganyika!
Aah nilichanganya kweli, haikuletwa sababu ya vita lakini ilipigana vita hivo ina uhusiano na vita kwa maana ya kwamba ilishiriki vita lakini haikuletwa sababu ya vita

Vichwa vina mambo mengi mkuu
 
Unachanganya mambo, umeandika kuhusu MV Liemba ambayo ni meli iliyokuwa inahudumia Ziwa Tanganyika hiyo haina uhusiano na Vita iliwekwa kabla hata ya vita kuanza na haikuwa Meli ya Kivita iliwekwa pamoja na kukamilika kwa reli inayounganisha Pwani na Bara leo tunaita reli ya kati na Kigoma ikiwa mwisho wa reli na pale Kigoma pakajengwa Bandari pia yote yalikuwa maendeleo ya kujenga infrastracture na siyo vita hata Ziwa Tanganyika ambapo Liemba ipo mpaka leo hii ni mbali kidogo na Rufiji delta ambapo vita ilifanyika.

Hivyo liemba haina uhusiano na vita na iko Ziwa Tanganyika!
Vita haikupiganwa Rufiji tu. Hata huko ziwa Tanganyika ilipiganwa. Wajerumani waliibadili hiyo Liemba kuwa meli vita na ikawa inatawala ziwa Tanganyika. Waingereza walileta boti mbili, zikapita Congo ya wabelgiji hadi ziwa Tanganyika. Lengo ni kupambana na Liemba. Wajerumani walipoona mambo magumu wakaizamisha. Baadaye waingereza wakaiopoa na hadi sasa inafanya safari ziwa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom