Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,884
- 5,194
Salam wanahistoria.
Ninasoma Tasnifu ya Wangari Mathai iitwayo Unbowed, Kwenye sura ya Kwanza, nimekuta maelezo kuwa kuna wakenya waliletwa Tanganyika kupigana Vita ya Dunia, kati ya Muingereza dhidi ya Mjerumani. Katika kusoma kwangu historia sina kumbukumbu kusoma kuwa vita ya kwanza ya Dunia ilipiganwa kwenye Ardhi ya Tanganyika, nimewahi kusoma watu walichukuliwa hapa kwenda nje ya nchi kama Burma n.k kupigana upande wa Muingereza. Je, kinachoelezwa hapa ni sahihi?
Cc: Mohamed Said Red Giant joka kuu
Ninasoma Tasnifu ya Wangari Mathai iitwayo Unbowed, Kwenye sura ya Kwanza, nimekuta maelezo kuwa kuna wakenya waliletwa Tanganyika kupigana Vita ya Dunia, kati ya Muingereza dhidi ya Mjerumani. Katika kusoma kwangu historia sina kumbukumbu kusoma kuwa vita ya kwanza ya Dunia ilipiganwa kwenye Ardhi ya Tanganyika, nimewahi kusoma watu walichukuliwa hapa kwenda nje ya nchi kama Burma n.k kupigana upande wa Muingereza. Je, kinachoelezwa hapa ni sahihi?
Cc: Mohamed Said Red Giant joka kuu