Nikweli hii ilikuwa JKT!!Hiyo lazma ilikuwa JKT. Mi simo hapo, nlikuwa form 5 mwaka huo.
Hapana mkuu kwanini umeuliza tanga??Tanga?
Siyo siri tulikuwa wazalendo na wajamaa waukweli mshahara 600!per month!Nataza tupo na wahindi je sasa hivo litawezekana na ufisadi huu??Du 92 ngoja nikae pembeni,
inasadikiwa nyie ndio mlikuwa wazalendo hasa,sio vijana wa siku hizi
Serviceman R 7137, Operation Safisha, JKT Ruvu
View attachment 51782
Jamani hii picha ilipigwa 1992!Je humu JF kuna yeyote yupo katika Picha hii kama hupo ni pm!!
Dah longtime hiyo 1985 kama sikosei mkuu!!
Dah longtime hiyo 1985 kama sikosei mkuu!!
Huyo wa mwisho kulia aliyechuchumaa kama boflo??