The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,133
- 8,312
Halo JF nipo jukwaa hili.
Hivi chumbani unapolala huwa una vitu gani na gani? Vipi mpangilio wako wa vitu.
Huwa unakumbuka kupangilia au ndiyo mambo mengi siku moja moja unadeki 😅😅😅 ninacheka maana wanaume wengi wachafu sana yaani chumba cha kulala kama danguro la wahindi, au karakana za wachina 😂
Wala hawathubutu kukaribisha pisi yaani speed zao ni guest house huko wakipata pisi.
Mfano mpangilio mzuri wa chumba cha kulala ni uwe na Kitanda kizuri pamoja na kabati la nguo moja, hanger ya nguo na viatu, kama utakuwa na kochi moja na meza ndogo sana sio mbaya, hayo makoro koro mengine huwa sio ishu sana, jiko na mavyombo ni kuforce tu life ila tujitahidi tuishi vizuri.
Wakuu, sometimes bedroom nzuri huwezi choma gharama kwenda guest wewe na mwenza wako/ hata awe demu.
Mimi binafsi sipendi chumbani kuwe hovyo na haitokei kitu kama hicho, najua wapo girls wapo rough till this time. Tena nimegundua girls baadhi ni wavivu yaani huyo wa hivo hawezi ishi na mtu smart. Zaidi watatibuana.
#bedroom
Hivi chumbani unapolala huwa una vitu gani na gani? Vipi mpangilio wako wa vitu.
Huwa unakumbuka kupangilia au ndiyo mambo mengi siku moja moja unadeki 😅😅😅 ninacheka maana wanaume wengi wachafu sana yaani chumba cha kulala kama danguro la wahindi, au karakana za wachina 😂
Wala hawathubutu kukaribisha pisi yaani speed zao ni guest house huko wakipata pisi.
Mfano mpangilio mzuri wa chumba cha kulala ni uwe na Kitanda kizuri pamoja na kabati la nguo moja, hanger ya nguo na viatu, kama utakuwa na kochi moja na meza ndogo sana sio mbaya, hayo makoro koro mengine huwa sio ishu sana, jiko na mavyombo ni kuforce tu life ila tujitahidi tuishi vizuri.
Wakuu, sometimes bedroom nzuri huwezi choma gharama kwenda guest wewe na mwenza wako/ hata awe demu.
Mimi binafsi sipendi chumbani kuwe hovyo na haitokei kitu kama hicho, najua wapo girls wapo rough till this time. Tena nimegundua girls baadhi ni wavivu yaani huyo wa hivo hawezi ishi na mtu smart. Zaidi watatibuana.
#bedroom