Je Wazanzibar wana material presidential candidate 2015 ?

Leo naona mzee umewaamkia jamaa zetu wa unguja naona umeamua kuja na nyingine kuonyesha msisitizo...basi bwana inatosha,itoshe tu tukubali this time na wao angalau watoe rais then baadae kiti kitarudi tena huku mbona easy tu!
 
katiba yetu haifai kumpa mzanzibari uraisi wa muungano, Hata mhe mwinyi ilikuwa ni kosa,vipi atafanya maamuzi kwenye mambo ya watanganyika yasiyo ya muungano?
Kwa wao kukubali muundo wa serikali mbili huku hii ya muungano ikitawala na mambo ya watanganyika kumehalalisha watanganyika kuongoza muungano maisha, kwa hiyo hata kama wana mtu anayeefaa kuwa raisi hatutakubali kama watanganyika eti mzanzibari afa maamuzi kwenye hata mambo yasiyo ya muungano.
 
Sifa za "Material President" ni zipi, nje ya zile zinazotajwa kwenye katiba?
 
Mkipeleka nchi kizamu hivyo tutaharibu hahaa soon utasikia kaskazini watasema ni zamu yao na wao kuongoza nchi
Nao wa magharibi watibuka na kusema na sisi pia.
Mkitoka humu watakuja kwenye dini nao wakristo watasema ni zamu yao na waislamu watasema ni zamu yao.
Kwenye wakristo kitaubuka wa anaglikan watasema ni zamu mbona mnawapendelea sana wakatoliki.
Cha msingi ni kutafuta mtu makini haijalishi anatoka upande kwa hali ya nchi ya sasa we ned a strong leader kwa kwel na mwenye kufanya maamuz aliye tayar kukubali serikali yake ijifunge mikanda ikate cost zote za kijingA huyo ndo tunamuhitaji
Awe muislamu sijui mkristo sijui mpagan sijui katoka zenji sijui katoka kaskazin kitu kimoja ajue majukumu yake kwamba sisi ndo tuliye mwajili
 
Mkipeleka nchi kizamu hivyo tutaharibu hahaa soon utasikia kaskazini watasema ni zamu yao na wao kuongoza nchi
Nao wa magharibi watibuka na kusema na sisi pia.
Mkitoka humu watakuja kwenye dini nao wakristo watasema ni zamu yao na waislamu watasema ni zamu yao.
Kwenye wakristo kitaubuka wa anaglikan watasema ni zamu mbona mnawapendelea sana wakatoliki.
Cha msingi ni kutafuta mtu makini haijalishi anatoka upande kwa hali ya nchi ya sasa we ned a strong leader kwa kwel na mwenye kufanya maamuz aliye tayar kukubali serikali yake ijifunge mikanda ikate cost zote za kijingA huyo ndo tunamuhitaji
Awe muislamu sijui mkristo sijui mpagan sijui katoka zenji sijui katoka kaskazin kitu kimoja ajue majukumu yake kwamba sisi ndo tuliye mwajili

acha ujanja,tuko kwenye muungano wa nchi mbili,hatuwezi kutawala pekeetu kila siku,lazima tuwe fair,zanzibar ni nchi wala huwezi kufananisha na arusha au mbeya ile ni nchi ndio maana haina mkuu wa mkoa ina rais na bendera,acheni hizo dharau na kejeli kwa wazanzibari ndio na wao kina jussa wanatutukana then tunakasirika...sisi tumeshatoa marais wawili wametuvumilia sasa inatosha,kuhusu material president sijaelewa jamaa alimaanisha nini,lakini wapo kina salim,yupo karume wawili kule mmoja kishakuwa mpaka rais huko atashindwa nini hapa?
 
acha ujanja,tuko kwenye muungano wa nchi mbili,hatuwezi kutawala pekeetu kila siku,lazima tuwe fair,zanzibar ni nchi wala huwezi kufananisha na arusha au mbeya ile ni nchi ndio maana haina mkuu wa mkoa ina rais na bendera,acheni hizo dharau na kejeli kwa wazanzibari ndio na wao kina jussa wanatutukana then tunakasirika...sisi tumeshatoa marais wawili wametuvumilia sasa inatosha,kuhusu material president sijaelewa jamaa alimaanisha nini,lakini wapo kina salim,yupo karume wawili kule mmoja kishakuwa mpaka rais huko atashindwa nini hapa?


Mawazo ya kijinga kabisa kutoka kwa anayejiita great thinker!

Hatutamchagua mtu kwa kuangalia alipotoka. Hatutamchagua mtu kwa kuangalia dini yake. Hatutamchagua mtu kwa kuangalia kabila lake. Ni upuuzi wa ccm kukimbia kivuli chake mambo yakishawawia magumu kwa hoja za kijinga kama hizi. Walipoona uchaguzi uvccm umewakamoto, wakaja na swala la sasa ni zamu ya z'bar. Wakaishia kumweka Masauni ambaye aliishia kufukuzwa kwa kudanganya umri. Ingawa ni makosa kisheria lakini akaachwa na kwenda kugombea ubunge kwao.
Angalia uchaguzi wa spika. Mafisadi walipomkataa Sitta, wakamtanguliza Chenge kuchafua hali ya hewa na kumtuma Makinda kuchukua form. Wakaleta hoja ya "zamu ya mwanamke" na chama kikaona hapo ndio pa kutokea. Angalia bunge lilivyo sasahivi. Upuuzi mtupu!
Sasa wamekuja na hoja ya "sasa ni zamu ya z'bar" kwenye urais baada ya kuona wanasigana na hakuna anayemwamini mwenzake. Wote wanaogopana. Wanaona bora aje wa mbali. Wameanza kuipigia debe hoja yao na kama kawaida wamewatuma vijana kwenye mitandao ya kijamii. Inasikitisha sana kuona na wewe umetumbukia humo!

Amka ndugu yangu. Usiendeshwe na propaganda za magamba. Chama chao kinaelekea kufa. Ni bora ujitoe mapema usije ukazama nao!
 
Mawazo ya kijinga kabisa kutoka kwa anayejiita great thinker!

Hatutamchagua mtu kwa kuangalia alipotoka. Hatutamchagua mtu kwa kuangalia dini yake. Hatutamchagua mtu kwa kuangalia kabila lake. Ni upuuzi wa ccm kukimbia kivuli chake mambo yakishawawia magumu kwa hoja za kijinga kama hizi. Walipoona uchaguzi uvccm umewakamoto, wakaja na swala la sasa ni zamu ya z'bar. Wakaishia kumweka Masauni ambaye aliishia kufukuzwa kwa kudanganya umri. Ingawa ni makosa kisheria lakini akaachwa na kwenda kugombea ubunge kwao.
Angalia uchaguzi wa spika. Mafisadi walipomkataa Sitta, wakamtanguliza Chenge kuchafua hali ya hewa na kumtuma Makinda kuchukua form. Wakaleta hoja ya "zamu ya mwanamke" na chama kikaona hapo ndio pa kutokea. Angalia bunge lilivyo sasahivi. Upuuzi mtupu!
Sasa wamekuja na hoja ya "sasa ni zamu ya z'bar" kwenye urais baada ya kuona wanasigana na hakuna anayemwamini mwenzake. Wote wanaogopana. Wanaona bora aje wa mbali. Wameanza kuipigia debe hoja yao na kama kawaida wamewatuma vijana kwenye mitandao ya kijamii. Inasikitisha sana kuona na wewe umetumbukia humo!

Amka ndugu yangu. Usiendeshwe na propaganda za magamba. Chama chao kinaelekea kufa. Ni bora ujitoe mapema usije ukazama nao!

nyie mngekubali??????????au unasema tu kaka,hebu vivae viatu vya wazanzibari uone kama vitakutosha kwenye suala hili,acheni huo ubinafsi hii ni nchi yetu sote na lazima muelewe hii inazungumziwa kwa mgombea urais kupitia ccm kwani ndio wenye muungano wengine tuna pretend but kiukweli hatuutaki!
 
Alaska ni sehemu ya Marekani. Haijawahi kutoa rais wa Marekani. Tafakari!
 
Alaska ni sehemu ya Marekani. Haijawahi kutoa rais wa Marekani. Tafakari!

Hata hawaii ni sehemu ya marekani lakini imetoa rais wa marekani pia....acheni kujipenda kupita kiasi,zanzibar watu wapo wa kushika wadhifa huo wa juu kabisa,tuwe fair au kwa kuwa wao wako wachache ndio tunataka kuwaonea kwa kuwa tunajua kura zao hazitoshi pale chimwaga kulinganisha na za kwetu?tusijipendelee bwana
 
Hivi kuna mkristo Zanzibar, kama yupo na anaweza kutawala wampe. La sivyo rais atoke bara tena awe mkristo mana safari hii ni ya wakristo.
 
wakristo wako wengi,sasa tuwape wakatoliki ama walutheri,hili nalo neno...!hakuna pa kutokea,tuache kuwaonea wazanzibari kwa sababu wako wachache!
 
Kwahiyo tuchague rais kwa kuwaonea wazanzibari huruma maana wao ni wachache? Sidhani kama hicho ni kigezo kizuri.
Pili, nadhani Watanzania wanao uhuru wa kuhamua kwamba wanamtaka Mzanzibari ama la. Kwa jinsi mnavyojadili, ni kama vile mgombea atakaepitishwa na CCM tayari yeye ni rais! Kama CCM wanataka kuweka Mzanzibari sawa, waweke. Watanzania kama hawamtaki si watachagua mtu kutoka chama kingine?
 
Kwahiyo tuchague rais kwa kuwaonea wazanzibari huruma maana wao ni wachache? Sidhani kama hicho ni kigezo kizuri.
Pili, nadhani Watanzania wanao uhuru wa kuhamua kwamba wanamtaka Mzanzibari ama la. Kwa jinsi mnavyojadili, ni kama vile mgombea atakaepitishwa na CCM tayari yeye ni rais! Kama CCM wanataka kuweka Mzanzibari sawa, waweke. Watanzania kama hawamtaki si watachagua mtu kutoka chama kingine?


umenena!ndio mana nikasema hapo mwanzo muungano ni wa ccm,watu hawakunielewa..
 
2015-2025 Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni Mh.Edward Lowassa.

wajuvi wote washajua,so jipange utadili na uongozi huo kivipi.
Kiutendaji jamaa anaweza na ameonyesha uwezo wake,kiasi kwamba mshikaji wake aliona anafunikwa ndio maana kamtosa,nasi watanzania tusivyoweza kuchambua mambo kwa kina tukakubali kumuita Fisadi Papa Je unaweza ukaosha kidole cha kati ukaacha kidole gumba kwa kisingizio kuwa hakikutumika ktk tukio.

Nasikitika na pia nakubali kiana kuwa Mh.EL ndio Raisi wa URT kipindi kijacho cha uchaguzi,labda tume na msimamizi wa uchaguzi iundwe kwa njia mpya.

jamani msinituhumu hii ni ndoto tu,niliota jana

Alamsiki :)
 
Leo naona mzee umewaamkia jamaa zetu wa unguja naona umeamua kuja na nyingine kuonyesha msisitizo...basi bwana inatosha,itoshe tu tukubali this time na wao angalau watoe rais then baadae kiti kitarudi tena huku mbona easy tu!

watowe rais aje atufanyie nini? zanzibar ni nchi ya nje na ina rais wake. hatutokubali mambo hayo yatokee tena. ilikuwa zamani.
 
Back
Top Bottom