makongorosi
Member
- Apr 24, 2009
- 49
- 3
Nikisoma hizi comments napata picha kuwa inaonekana kuna beef kubwa kati ya wabongo waliobahatika kutoka na kuendelea na shughuli zao ughaibuni V/S waliojaribu kuondoka na kugonga ukuta, walionyimwa visa, na wanaotamani kuondoka lakini inawawia vigumu, ama wanaoendelea kupigika bongo na waya mkali.
ongera sana wewe umenena, ila umesahau kidogo au umetumia neno la kistaarabu. Hawa hawana kingine zaii ya wivu na husda.