Lonestriker
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 640
- 241
Watanzania wengi,walio nje na walio ndani ni wavivu wa kufikiria kuhusu kesho.Hizo takwimu ni sahihi kabisa.Nashangaa mtua anaposema eti watanzania wanatuma pesa kwa njia ya mabulungutu,hivi kwani wakenya na waganda hawatumii hio njia?Au sisi ndio wajanja pekee tunaojua kutumia njia hizo za mabulunguti?Ok,hata kama ni mabulunguti mbona hatuoni kazi zake katika miji yetu?Binafsi natoka Mwanza lakini bado sijaona private estate hata moja ambayo unaweza kusema mwenye nayo anapiga kazi nje.watanzania hatutumii hela ipasavyo,tukubali udhaifu ili tuweze kupambana na hivyo virusi vya uzembe.