MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Ni jambo lisilo la kawaida nchi yoyote ile wanasiasa kupingana na wataalamu katika dunia hii ambayo inahitaji mawazo ya wataalamu ili kuleta maendeleo.
Nchi ya TZ inaongozwa na viongozi wanasiasa katika sekta/wizara mbalimbali ambazo hawana taaluma ya hiyo sekta anayoiongoza lakini inafikia wanasiasa wanapinga mawazo ya wataalamu(maprofesa) waliobobea, waliosomea huo utaalamu zaidi ya miaka 10, siyo jambo la kushangaa sana kuona sekta/wizara fulani ambayo inaongozwa na mtu ambaye hana taaluma ya hiyo sekta ila cha msingi ni kwanini mtu kafikia form 4/form 6 na ikibidi kafikia darasa la saba anaamua kupingana na dokta aliyesomea afya ya binadamu zaidi ya miaka 10 na kuitwa prof, Engineer , mwanasheria aliyebobea na kuitwa prof lakini mwanasiasa anampinga na kumuita muongo, je hii nchi yetu ina viongozi walio makini au???
Nasema hivyo kwa maana leo asubuhi nimeshuhudia Wasira kama waziri anawapinga akina Profesa Shivji kuwa hawaelewi huu mswaada unaitwaje na unamaanisha nini ndoo maana wanawapotosha wananchi, Wasira amejaribu kuwakejeli Maprofesa na wataalamu wa sheria waliokipaumbele na jukwa la katiba kuwa hawaujui mswaada huu wa marekebisho ya katiba,
hii inamaanisha kuwa wanasiasa ndoo wanajiona kuwa wanajua kila kitu kuliko wataalamu ambao wamesomea huo utaalamu zaidi ya miaka 10 au ni udogo wa mawazo ya wanasiasa wetu wa TZ???
Nchi ya TZ inaongozwa na viongozi wanasiasa katika sekta/wizara mbalimbali ambazo hawana taaluma ya hiyo sekta anayoiongoza lakini inafikia wanasiasa wanapinga mawazo ya wataalamu(maprofesa) waliobobea, waliosomea huo utaalamu zaidi ya miaka 10, siyo jambo la kushangaa sana kuona sekta/wizara fulani ambayo inaongozwa na mtu ambaye hana taaluma ya hiyo sekta ila cha msingi ni kwanini mtu kafikia form 4/form 6 na ikibidi kafikia darasa la saba anaamua kupingana na dokta aliyesomea afya ya binadamu zaidi ya miaka 10 na kuitwa prof, Engineer , mwanasheria aliyebobea na kuitwa prof lakini mwanasiasa anampinga na kumuita muongo, je hii nchi yetu ina viongozi walio makini au???
Nasema hivyo kwa maana leo asubuhi nimeshuhudia Wasira kama waziri anawapinga akina Profesa Shivji kuwa hawaelewi huu mswaada unaitwaje na unamaanisha nini ndoo maana wanawapotosha wananchi, Wasira amejaribu kuwakejeli Maprofesa na wataalamu wa sheria waliokipaumbele na jukwa la katiba kuwa hawaujui mswaada huu wa marekebisho ya katiba,
hii inamaanisha kuwa wanasiasa ndoo wanajiona kuwa wanajua kila kitu kuliko wataalamu ambao wamesomea huo utaalamu zaidi ya miaka 10 au ni udogo wa mawazo ya wanasiasa wetu wa TZ???