Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
- Thread starter
- #141
wanawake utawajua kama wamezaliwa na mama mmoja kwa ukarimu wao na mapenzi ya dhati.upole upenzo n.k.Je wanawake wapo kama wamezaliwa na mama tofauti eeh?
wanawake utawajua kama wamezaliwa na mama mmoja kwa ukarimu wao na mapenzi ya dhati.upole upenzo n.k.Je wanawake wapo kama wamezaliwa na mama tofauti eeh?
me mwenyewe hawa wavaa suruali wananiudhi kama nini?nafikiria kuwa mtawa nimechoka na kero zaonashukuru mungu sijatendwa ila mashost zangu wa karibu wametendwa jamani hadi huruma. Halafu mijanaume yenyewe iliyowatenda we acha tu. Aliyesema mapenzi upofu hajakosea.
anatoa vitisho tu,me sijamuelewa kama yeye naye mweupe au
FL Hivi GY amejibu kwenye huu mjadala?????
Tears are the Words in the Heart, that can not be spoken 2010 - CAUSED BY WEUPE
Naona tunachimbana sana humu
Jamani FL mimi ni mweusi ndi... halafu mrefu wa futi 6....! then, natangaza nia...Wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!
tears are the words in the heart, that can not be spoken 2010 - caused by weupe
naona tunachimbana sana humu
Well spoken Maty...akina dada komeni kuwababaikia wanaume weupe, au mnataka kuzaa mahalf cast??Jamani ngoja nifafanue kidogo unajua wanaume wengi weupe wa kibongo (sio wazungu)ni mahandsam so wadada weng wanawapapatikia sio nia yao kuumiza siwatetei ila wadada wanajigonga kwao kwa sana wala hawana kaz kubwa ya kutongoza. Wanajichagulia 2 leo awe na yupi kesho na yupi kwa kifupi wanaume hawa (wenye pesa hata awe na sura ka makalio ya sufuria inayopikiwa na kuni na mahandisam weupe kwa weusi hata awe hana kash wanaumiza mioyo ya kina dada kwani wadada wengi wanawakimbilia sana) kwa hiyo lazima wadada muumizwe we jichukulie mchoma mishkaki wako ila asiwe handisam awe mbaya ka kanyagio utaona kama utaumizwa utakua peke yako
Jamani ngoja nifafanue kidogo unajua wanaume wengi weupe wa kibongo (sio wazungu)ni mahandsam so wadada weng wanawapapatikia sio nia yao kuumiza siwatetei ila wadada wanajigonga kwao kwa sana wala hawana kaz kubwa ya kutongoza. Wanajichagulia 2 leo awe na yupi kesho na yupi kwa kifupi wanaume hawa (wenye pesa hata awe na sura ka makalio ya sufuria inayopikiwa na kuni na mahandisam weupe kwa weusi hata awe hana kash wanaumiza mioyo ya kina dada kwani wadada wengi wanawakimbilia sana) kwa hiyo lazima wadada muumizwe we jichukulie mchoma mishkaki wako ila asiwe handisam awe mbaya ka kanyagio utaona kama utaumizwa utakua peke yako
character assassination you have been warned!!juzi ilikuwa ni kimey....habari yake mfu.....
Leo ni gy......habari yake wai...
Kesho sijui atakuwa ni nani??????
hahaha ngoja tutafute mafuta ya bunduki bana!!Nimetafakari sana, nimeumizwa sana na hii topic lakini nimeona ngoja nijitoe coz nna conflict of interest lazima ntakuwa biased!!!
Nimetafakari sana, nimeumizwa sana na hii topic lakini nimeona ngoja nijitoe coz nna conflict of interest lazima ntakuwa biased!!!