Je unajua kuwa wanaume weupe ndio wanaongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti?

Call them names. Hata hii post yako inaonyesha uko tayari kumkubali mwanaume yeyote mweupe akikutokea, sema tu hujapata bahati hiyo. Halafu hapa kwetu wako wachache, ili hali mabinti ndio wanawapenda hao....Ndio maana wanaishia kuwa heartbreakers kwa kuwa wanaelemewa na mzigo wa majaribu toka kwa mabinti...............!!!

SULUHISHO + USHAURI WA BURE: Mabinti kubalini kwamba wanaume weupe wako wachache, na ukikubali kumvulia chupi, umvulie tu kwa raha zako bila kutarajia kwamba atakuwa wako peke yako. DO IT JUST FOR FUN!!
ooh Paalizz!its not always that you choose what you desire sawa?una uhakika sijapata hiyo bahati au just saying jamani?i said nawafagilia,kwani wewe vingapi unafagilia but you have chosen in your heart usivichoose?au do you go 4 everything you desire my dear?
 
kwa kweli kila jicho lina tafsiri yake ya mvuto,mimi jamani wakaka weupe hawajawahi kunivutia kamwe.

Hujawahi kuonja wewe na kama ulionja atakuwa labda ni albino hukukamata utamu watu wanataka kunywa sumu kila kukicha we unasemaje!?
 
Naona unajitetea weupe:A S-alert1:

Siyo najitetea ni ukweli ulio dhahiri kwenye mapenzi watu wengi wanaangalia mambo ya muhimu kama vile kujali mahitaji (pesa) mapenzi ya dhati yaani kumbembeleza na kumwomba msamaha na uzuri wa sura pia na ndiyo maana ukiona mwanamke haendani nawe unamtengezea mazingira ili ajiondoe mwenyewe kistaarabu lakini wao wanajisikia kuteswa wakati wengi HAMFIT KWENYE ROLE ZENU
 
kweli DA hao wepe ni presha.huwez kuwa na wakwako peke yako sijui huwa wanajiona kuw wao ndo wazuri au wanajua mambo flani!ila me nawaona wa kawaida tu

kama mtu ni mzuri, atabaki kuwa mzuri tu, awe mweupe au mweusi. Na kama ulitendwa na weupe usiwakandie kuwa wote wako hivyo. Lakini inawezekana umefanya utafiti wako na una haki ya kusema chochote. Kuna wengine pia tutasema wanawake wenye makalio kidogo hawana maana kwa sababu wanajiona ni wazuri na hawana mapenzi ya kweli, kwa hiyo mtu asithubutu kuwafuata. Au wanawake weupe. Mapenzi ni kipendacho roho, ni mawazo yangu kuwa mtu asishawishiwe na rangi au kitu kingine kinachofanana na hicho, ni kujidanganya tu. Haiwezekani ukampenda mtu kwa dhati lakini ukaamua kirahisi kutokuhusiana naye eti kwa sababu ya rangi, ni kujidanganya nafsi yako
 
Siyo najitetea ni ukweli ulio dhahiri kwenye mapenzi watu wengi wanaangalia mambo ya muhimu kama vile kujali mahitaji (pesa) mapenzi ya dhati yaani kumbembeleza na kumwomba msamaha na uzuri wa sura pia na ndiyo maana ukiona mwanamke haendani nawe unamtengezea mazingira ili ajiondoe mwenyewe kistaarabu lakini wao wanajisikia kuteswa wakati wengi HAMFIT KWENYE ROLE ZENU

Ndo kujitetea huko wakataa nini yakhee
Ila weusi wapendewa mipilimbi yao
Ila bora uwe wa kati si mweupe si mweusi yakhee
Sijui waita maji ya kunde au dengu?!!!!:A S-alert1:
Halafu ule si weupe ati ni wekundu huo:A S-alert1:
 
Ndo kujitetea huko wakataa nini yakhee
Ila weusi wapendewa mipilimbi yao
Ila bora uwe wa kati si mweupe si mweusi yakhee
Sijui waita maji ya kunde au dengu?!!!!:A S-alert1:
Halafu ule si weupe ati ni wekundu huo:A S-alert1:

Amii hebu Nchunguza huo n'domo wako atii wanionea bure mie nlishakwambia wao hawayawezi ndio watutia ubaya atii
Yakhee ulivyoshindwa kuvila usitie khila malav davi yana wenyewe afu mie napenda wanawake weusi ati tena waliokolea siyo maji ya kunde
 
Amii hebu Nchunguza huo n'domo wako atii wanionea bure mie nlishakwambia wao hawayawezi ndio watutia ubaya atii
Yakhee ulivyoshindwa kuvila usitie khila malav davi yana wenyewe afu mie napenda wanawake weusi ati tena waliokolea siyo maji ya kunde

Mie sichagui yakhee
Nala mpaka albino ati tena watamu ile mbaya tena wajua kutumia mwiko ati:A S-alert1:
 
Mie sichagui yakhee
Nala mpaka albino ati tena watamu ile mbaya tena wajua kutumia mwiko ati:A S-alert1:

Asta ghafirulahi we ntoto siyo tabia nzuri hiyo yakhe weye huna haramu ntakusemea miye kwa njomba yule kwa mchambawima akupe bokora zako lazima uchague samaki baharini sio unawala wote vibaya hivyo ati.
 
Wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!

Kazi ipo!
Sijawahi kupenda mweupe ila nimeshaumizwa sana tu.
Kweli mapenzi bahati
 
Kazi ipo!
Sijawahi kupenda mweupe ila nimeshaumizwa sana tu.
Kweli mapenzi bahati

Njoo kwangu mi. Ni mweupe na hauta juta zaidi sana utaleta mada ya kutusafisha humu jukwaani na siyo watu wanaolalamika baada ya kuchemka katikati ya safari.

KARIBU ULIMWENGU WA MALAVDAVI YA UKWELI.
 
Mkuu ilianza na wanaume wafupi, ikaja weupe, itaenda kwa wanene, itahamia kwa wembamba, then kwa wenye vitambi, halafu kwa wenye vipara..............and then................

Tusipoizuia hii tabia watakuja kugusa mambo yetu nyeti zaidi....kama Kimey anavyosema inabidi tutafute mafuta ya bunduki!!!
 
Njoo kwangu mi. Ni mweupe na hauta juta zaidi sana utaleta mada ya kutusafisha humu jukwaani na siyo watu wanaolalamika baada ya kuchemka katikati ya safari.

KARIBU ULIMWENGU WA MALAVDAVI YA UKWELI.
mmmmh.....!
 
Hamna kitu, mbona mi ni mweusi lakini pia nawachanganya mabinti. We kama ulizimika ni wewe mwenyewe.
 
Hamna kitu, mbona mi ni mweusi lakini pia nawachanganya mabinti. We kama ulizimika ni wewe mwenyewe.

Utakuwa una matumizi mabaya ya fedha kitu kinachowavutia wanawake wengi wenye njaa na siyo sura na jaribu kuangalia vizuri kwenye hiyo database yako utawakuta wengi ni wachaga ndiyo unawapata, lakini suala vigezo wenyewe wanajua ma HB na magent. wa ukweli wakoje.
 
Utakuwa una matumizi mabaya ya fedha kitu kinachowavutia wanawake wengi wenye njaa na siyo sura na jaribu kuangalia vizuri kwenye hiyo database yako utawakuta wengi ni wachaga ndiyo unawapata, lakini suala vigezo wenyewe wanajua ma HB na magent. wa ukweli wakoje.

Hivi kila mweupe anasura nzuri
Mie naonaga wengi wana makengeza vile
Kuna ma handsome blacks wengi tuu
 
Back
Top Bottom