wamevunjwa na weupe?Kuna watu wameshavunjwa moyo mpaka wameunga na super glue....
Jamani ngoja nifafanue kidogo unajua wanaume wengi weupe wa kibongo (sio wazungu)ni mahandsam so wadada weng wanawapapatikia sio nia yao kuumiza siwatetei ila wadada wanajigonga kwao kwa sana wala hawana kaz kubwa ya kutongoza. Wanajichagulia 2 leo awe na yupi kesho na yupi kwa kifupi wanaume hawa (wenye pesa hata awe na sura ka makalio ya sufuria inayopikiwa na kuni na mahandisam weupe kwa weusi hata awe hana kash wanaumiza mioyo ya kina dada kwani wadada wengi wanawakimbilia sana) kwa hiyo lazima wadada muumizwe we jichukulie mchoma mishkaki wako ila asiwe handisam awe mbaya ka kanyagio utaona kama utaumizwa utakua peke yako
Thanks Maty nilikumiss habari ya wewe
Wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!
Kuna wengine wana weupe wa kutengeneza, msihukumu maana naturally ni weusi.
kwa kweli kila jicho lina tafsiri yake ya mvuto,mimi jamani wakaka weupe hawajawahi kunivutia kamwe.
Wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!
aakh maty kuchagua muhimu.ila inapendeza kama mdada unalipa ukachukua dume la kawaida hata kama linatisha kwa mbali.me mwenyewe firstman wangu halipi hata kidogo ila presha bado juu.tatizo wadada wakiona unaye mbaya wanataka kumtest ili wajue kilichokuvutia binti mzuri kuanguka kwa huyo mbaya.musuri mwaya mi nina ji mpingo langu baya (maana akiwa mpingo halfu handsam nae balaa atakuliza) na kash yake ya kuunga unga (maana hata akiwa mbaya ila ana kashi atakuliza) naish kwa amani zote wakina dada kama hutaki kuumizwa punguza kuchagua
aakh maty kuchagua muhimu.ila inapendeza kama mdada unalipa ukachukua dume la kawaida hata kama linatisha kwa mbali.me mwenyewe firstman wangu halipi hata kidogo ila presha bado juu.tatizo wadada wakiona unaye mbaya wanataka kumtest ili wajue kilichokuvutia binti mzuri kuanguka kwa huyo mbaya.
ila bora presha hizi za kawaida ila sio za weupe za kujitakia
Wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!
Wanaume wote ni kama wamezaliwa na mama mmoja. Yaani tabia ni zile zile hasa katika suala la kucheat. Hata awe mfupi jeusi na mtambi huo utaona sheshe lake.
FL Hivi GY amejibu kwenye huu mjadala?????
?
Maty mimi ni original bana.umekosea jina langu.fl1 umenichekesha lol kumbe wadada huwa wanatamani kutest ili wajue inakuaje huyu dada jamani kuangukia hapa? so watakua wananichukuliaga mpingo wangu kuutest mwe!! Ila hawatakua wengi na hawez kunilingia cause anajua anapendwa na wachache tena kwa zali, tofauti ukiwa na handsam msululu unakua mkubwa bana na anaringa kwani anajua wanampenda wengi tena wazuri zaidi
unaonekana unamachungu sana na umeongea na hisia za kutoka moyoni.vipi umeshatendwa sana?Wanaume wote ni kama wamezaliwa na mama mmoja. Yaani tabia ni zile zile hasa katika suala la kucheat. Hata awe mfupi jeusi na mtambi huo utaona sheshe lake.
Je wanawake wapo kama wamezaliwa na mama tofauti eeh?
unaonekana unamachungu sana na umeongea na hisia za kutoka moyoni.vipi umeshatendwa sana?