kwahiyo huyu naye mweupe sio?Teh teh mukubwa sasa umemuanika na mabingili na vipini vyake kweupee duh
Nahisi kinyaa sasa
kwahiyo huyu naye mweupe sio?Teh teh mukubwa sasa umemuanika na mabingili na vipini vyake kweupee duh
Nahisi kinyaa sasa
wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
Km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
Mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!
?
Mkuu PakaJimmy, si nia yangu kuunga mkono kauli ya FL, lakini ukweli ni kwamba kama kuna heart breaks za kutisha basi ni kwa hawa wenzetu wazungu. Record iliyopo hadi hivi sasa katika nchi nyingi za ulaya ni kwamba asilimia sabini ya ndoa huwa zinavunjika kwenye early stages. Ukifuatilia utakuta waliopo kwenye ndoa ni wazee tu ambao kila mmoja alishazaa na mtu mwingine, sasa wameamua tu kuishi pamoja waleane. Lakini sielewi kama dhana yake ni hiyo hiyo ya weupe, lakini ninajua kwamba wazungu ndo wenye shida zaidi katika mapenzi kuliko hata hao waafrika weupe anaowasema FL.
Lakini kikubwa zaidi mimi ni mweupe, cha ajabu siku zote ndo nimekuwa naumizwa badala ya kuumiza. Sasa hapo sijui manake ni nini? Labda FL afafanue zaidi.
me too
Yaani weupe kama Ben Kinyaiya au???????
Am allergic to those kind of men
me too
ainkiller::target:Mimi ndo kabisa yaani hata kuwaangalia huwa sitaki kabisa naona kama ashanicheat hata kabla hajaongea
mi naonaa halinaa ukwelii hili...mi mweupe ilaa sina hizo tabia unazo semaa,je ni mwanaume mweupe tu au na mwanamke mweupe?first lady unasababu zako binafsi kwanini huwapendi wanaume weupe?labda washawai kuku cheat...ila tabiaa ya mtu sio rangiii:A S crown-1:
Dada FL unaunga mkono wanaume weupe kukimbiwa?safi
firstlady ulijuaje kama hawapendi kula pipi na ganda?au ulishajirusha nao?mana hizo siri za ndani dia.MX ndo maana wengi hishia kuumizwa roho.halafu hawa wanaume weupe ni kama wamechanjiwa yaani hawapendi kula pipi na ganda.mafataki,vihatarishi...........yaani wengi utawakuta hapa.
Hahahahaha afafanue maana weupe wa kibongo mm huwa unanichanganya sana unakuta mtu ana rangi mbili mpaka 3
safi
ainkiller::target:
Jamani ngoja nifafanue kidogo unajua wanaume wengi weupe wa kibongo (sio wazungu)ni mahandsam so wadada weng wanawapapatikia sio nia yao kuumiza siwatetei ila wadada wanajigonga kwao kwa sana wala hawana kaz kubwa ya kutongoza. Wanajichagulia 2 leo awe na yupi kesho na yupi kwa kifupi wanaume hawa (wenye pesa hata awe na sura ka makalio ya sufuria inayopikiwa na kuni na mahandisam weupe kwa weusi hata awe hana kash wanaumiza mioyo ya kina dada kwani wadada wengi wanawakimbilia sana) kwa hiyo lazima wadada muumizwe we jichukulie mchoma mishkaki wako ila asiwe handisam awe mbaya ka kanyagio utaona kama utaumizwa utakua peke yako
Bigrita kwenye ukweli unasema ati.huyo GY kama ni mweupe ajichunguze tabia zake then anipe majibu.ila najua lazima zitakuwepo