me tooAm allergic to those kind of men
Sio wazungu ati ni hawahawa wezetu weupe.asiyeamini akafanye uchunguzi ,majibu msiache kunipa
Yaani weupe kama Ben Kinyaiya au???????
Hehehehe makubwa tena haya mkulu teh teh teh
hahahaha komredi huu ugomvi wake sijui nani atauamulia :whoo:wapi GY!!
FL unataka ugomvi ambao hautaisha kabisa!
yaani weupe kama ben kinyaiya au???????
Wanaume weupe ndio wanaume wanaoongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti na wanawake.wamejaliwa mvuto lakini ni mabingwa kwa mapenzi ya tamthiliya.yaani wanavyojua kuhandle wakati wa mahusiano unaweza kujiona kama malkia.ni wepesi wa 'am sory darling','plz baby come back','love u more than n'thin in this world' nk,ila ndio wanaongoza kwa kucheat katika mahusiano maana ni mapretender wakubwa.
km unataka kuumizwa roho,kuwa na mwnaume mweupe!
mnaojua zaidi kuhusu haya nijuzenijamani.....!
FL niombe radhi kwani mimi rangi yangu imepitiliza yaani zeruzeru aoni ndani!
Hahahahaha afafanue maana weupe wa kibongo mm huwa unanichanganya sana unakuta mtu ana rangi mbili mpaka 3
Mkuu PakaJimmy, si nia yangu kuunga mkono kauli ya FL, lakini ukweli ni kwamba kama kuna heart breaks za kutisha basi ni kwa hawa wenzetu wazungu. Record iliyopo hadi hivi sasa katika nchi nyingi za ulaya ni kwamba asilimia sabini ya ndoa huwa zinavunjika kwenye early stages. Ukifuatilia utakuta waliopo kwenye ndoa ni wazee tu ambao kila mmoja alishazaa na mtu mwingine, sasa wameamua tu kuishi pamoja waleane. Lakini sielewi kama dhana yake ni hiyo hiyo ya weupe, lakini ninajua kwamba wazungu ndo wenye shida zaidi katika mapenzi kuliko hata hao waafrika weupe anaowasema FL.Hii ndo naisikia leo!...
Sasa sijui shemeji utaniambia nini kwa nchi za weupe watupu eg Ulaya!
Au wenyewe kwao tatizo hili halipo, liko na sisi tu waafrika!!
Labda anazungumzia weupe wa sehemu nyeti na muhimu, au mwili mzima?
akitokea mchina je?Wanajua kuwa mabinti weusi wanawapapatikia kwa kutaka kuzaa chotara
Am allergic to those kind of men
bacha mie hao weupe siwataki hata kidogo.yaani hata kama duniani wangebaki wenyewe basi ningeamua kuwa mtawa ati..!