LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,735
Niseme tu ukweli kuhusu huyu mwanangu wa kiume
Ana mwaka na miezi tisa hajajua kuongea vizuri ndo anajifunza, kwanza kabisa Nina uwezo wa kwenda naye kazini kwangu na asinisumbue wala kulia,
Anasalimia kila mtu tunayepishana naye barabarani,
Ni msikivu kwa kila ninacho mwambia
Akichukua kitu mfano amechota maji ya kunywa akimaliza anarudisha kama alivokuta imefunikwa,
Kilichonishangaza Jana mama yake kaniita tukae tule Mimi nikawa tu Niko bize na simu numelala kitandani nasoma mtandaoni akanifuata na kunishika mkono akifanya kama kuninyanyua alivoona Niko biza akashika simu yangu na kuivuta na kuiweka pembeni ikabidi tu nimtii.
Sasa Leo pia usiku nikiwa nakula nikachukua simu nikawa nasoma habari za michezo, akachukua tena simu na kuitupa kitandani huku akisema kula,
Nimefurahishwa sana na tabia yake
Ana mwaka na miezi tisa hajajua kuongea vizuri ndo anajifunza, kwanza kabisa Nina uwezo wa kwenda naye kazini kwangu na asinisumbue wala kulia,
Anasalimia kila mtu tunayepishana naye barabarani,
Ni msikivu kwa kila ninacho mwambia
Akichukua kitu mfano amechota maji ya kunywa akimaliza anarudisha kama alivokuta imefunikwa,
Kilichonishangaza Jana mama yake kaniita tukae tule Mimi nikawa tu Niko bize na simu numelala kitandani nasoma mtandaoni akanifuata na kunishika mkono akifanya kama kuninyanyua alivoona Niko biza akashika simu yangu na kuivuta na kuiweka pembeni ikabidi tu nimtii.
Sasa Leo pia usiku nikiwa nakula nikachukua simu nikawa nasoma habari za michezo, akachukua tena simu na kuitupa kitandani huku akisema kula,
Nimefurahishwa sana na tabia yake