Kama huyaoni yanayofanywa na wapinzani hasa kwa wakati huu. nina wasiwasi na wewe.
Unamjua mganga njaa?
Yeye anaangalia akipata mlo tu basi analala kama sign yako inavyosema.
Hio Ikulu ni kama mwanamke ambaye amefikia umri wa kuchumbiwa au mwanamke ambaye keshaolewa tayari.
Yule mhongaji mzuri, mvuto, au mwenye maneno mazuri ndio baba mwenye nyumba.
Kama wapinzani wanamtaka huyo mwanamke [Ikulu] wataganga njaa kweli?
Yaani Ikulu unaifananisa na kuhonga wanawake? kazi kweli kweli...
Haya niambie hayo waliyoyafanya wapinzani zaidi ya kuombea ruzuku kila uchao...