We AshaDii acha fujo! Nimesema Kuanzia hapo tukawa tunaandikiana almost daily Sijasema nani alikua na juhudi zaidi. lolI always love the stories behind the scene..... eep:
Because NO is my favourate word.why no? But you're welcome!
Masikiniiiii Lizzy hana mpenzi... hahahaha
Hana kwa maana ya hana. Mwenyewe anadai kua she says no ila ukimuuliza ya mwisho kusema no ni lini anaishia kucheka tu. hahahahamtaani kwangu kuna bar inaitwa 'nowhere bar'......labda alimaanishaa walikutana haapa kwenye hii bar.
Hapana
Masikiniiiii Lizzy hana mpenzi... hahahaha
nlikutana nae lodge ye anatoka na mtu me naingia na mtu tukakonyezana akaenda toilet nkachukua namba.
Hapana ni Hall 5 floor ya nane. Ule wali nyama haukua mgumu kumeza maana Bwashee alikuwa ananiwekea mchuzi wa kutoshasio vimbwete vya engineering wakati wa kula.
Ule wali nyama ulikuwa mgumu kumeza
Hapana ni Hall 5 floor ya nane. Ule wali nyama haukua mgumu kumeza maana Bwashee alikuwa ananiwekea mchuzi wa kutosha