BORNCV
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 242
- 46
Watu wengi hasa vijana walioko mashuleni na vyuoni wamekuwa na matarajio mengi yaliyo finyu ktk mahusiano wengine wakidhani kwamba akimaliza masoma bila kuwa na mke aliyesoma nae anajiona amepotea/kachelewa.
Je, wewe mwana jf ulikutana na mke/mpenzi wako wapi na ilikuwajd?
Je, wewe mwana jf ulikutana na mke/mpenzi wako wapi na ilikuwajd?