maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
wanajf habari za asubuhi. nimependa tutafkar kidogo kuhus mfumo sahihi unaotakiwa kwa nchi yetu kwa sababu ninavyoona nchi inaenda bila dira inayoeleweka. je sis watanzania kweli ni wabepari? je tunaposema ubepari tunamaanisha nini? je ni kudhulumu wanyonge wa nchi hii na kujikusanyia mali ya udhalim ndio tuseme ubepari? najua kuna watu wazuri hapa jf wanaofikiri kwa bidii sana, leo naomba tuangalie mfumo unaostahili kwa sababu ujamaa tupende tusipende umetuathiri kwa kiwango kikubwa na wanaopinga hilo ningefurah watoe ushahidi ili twende kwa pamoja bila kumwacha hata moja wetu anayetaka kuelewa kinachoendelea hapa nchini.
sasa naomba nitoe maoni yangu mafup.sis watanzania sio wabepari wala sio wajamaa kwa sababu viongoz wanaamini ktk ubepar wakati wananchi weng hasa vijijini bado wana mentaliti ya ujamaa mfano sera ya ardhi ya nchi yetu ni ya kijamaa ambapo kila moja ana haki ya kumiliki ardhi. sasa hivi kuna vuta nikuvute kati ya wananchi na serikali yao kwa kitu kinachoitwa uwekezaji. nionavyo mimi falsafa ambayo nchi inatakiwa kufuata ni lazima watu wake waelezwe na waelewe ili kushikana pamoja kwenda kuelekea tanzania yenye neema. pendekezo langu tanzania inastahili neutral socialism. kwa maana ya kuchukua mazuri ya ujamaa na mazuri ya ubepari na kuchanganya kwenye kapu moja kupata neutral socialism. naomba tujadili ubepar ndio mfumo sahihi kwa nchi yetu? na je pendekezo langu linaweza kuwa sahihi?
sasa naomba nitoe maoni yangu mafup.sis watanzania sio wabepari wala sio wajamaa kwa sababu viongoz wanaamini ktk ubepar wakati wananchi weng hasa vijijini bado wana mentaliti ya ujamaa mfano sera ya ardhi ya nchi yetu ni ya kijamaa ambapo kila moja ana haki ya kumiliki ardhi. sasa hivi kuna vuta nikuvute kati ya wananchi na serikali yao kwa kitu kinachoitwa uwekezaji. nionavyo mimi falsafa ambayo nchi inatakiwa kufuata ni lazima watu wake waelezwe na waelewe ili kushikana pamoja kwenda kuelekea tanzania yenye neema. pendekezo langu tanzania inastahili neutral socialism. kwa maana ya kuchukua mazuri ya ujamaa na mazuri ya ubepari na kuchanganya kwenye kapu moja kupata neutral socialism. naomba tujadili ubepar ndio mfumo sahihi kwa nchi yetu? na je pendekezo langu linaweza kuwa sahihi?