Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kila upatapo nafasi ya kumuomba na kumshukuru mungu wako yafaa ufanye hivyo, kwani kila andiko lenye pumzi ya mungu linamafaa kwa muamini.
Harakati zozote zile za ukombozi wa mnyonge ili zifanikiwe yafaa jina la bwana liwe juu yao!!!
Ma thinker kila mtu kwa imani yake amuombe mungu! Twendeni makanisani na misikitini!!!!!!!!!!!!!!
Harakati zozote zile za ukombozi wa mnyonge ili zifanikiwe yafaa jina la bwana liwe juu yao!!!
Ma thinker kila mtu kwa imani yake amuombe mungu! Twendeni makanisani na misikitini!!!!!!!!!!!!!!