Je tumbuatumbua itamhusu na huyu?

Manchid

JF-Expert Member
May 29, 2016
217
447
Wadau kuna jamaa amesoma diploma ya procurement na akaomba degree education akapangwa. Yuko chuo mwaka wa pili sasa anapiga masomo ya history na kiswahili aliyoyaacha O-level.

Alipangwa kihalali na alikua na GPA ya 3.7. Sasa amekua akisoma kwa hofu sana kutokana na kutokuyasoma hayo masomo advance. Jee tumbua tumbua inamuhusu? Na kwanini alichaguliwa?
 
huyu nahic tumbua2 inamuhudu sana, mana huwezi kusoma kitu usichoke soma either diploma, certificate au A level, huyu ni magumashi mno
 
Hapo kuna mkanganyiko vipi na wale waliosoma pcm na pcb advnce then wakaenda kusoma geography kiswa au history?
 
Back
Top Bottom