Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Huyu mtu hata kama kafa lakini afikishwe mahakamani kwa makosa haya

1. Upotevu wa pesa 1.5 trillion
2. Ujenzi holela wa miradi huko chato
3. Mauwaji utekaji utesaji dhuluma aliyoifanya akiwa kabla ya kutwaliwa
4. Ubomoaji wa makazi ya watu kimara


Ukitaka kujua kuwa lilikuwa jitu baya angalia ghorofa la tanesco ubungo lilivyobomolewa kiharibifu wakati barabara Iko umbali wa zaidi ya MITA 30.

Alikuwa rais mharibifu sana
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Umeandika upumbavu mtupu! Mwizi ambaye hata watoto wake wanaishi maisha ya kawaida hauna hata aibu kumtuhumu! Mwizi anayejenga flyover,sgr,umeme,hakuna tozo n.k huyo ndiye mwizi watanzania waliyemtaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais anayejidai shs 1.5 trillion hajui zimetokomea wapi.
Mwingine fedha za ESCROW sio za serikali
 
Itangazwe tu trilion kadhaa hazijulikani zimepotelea wapi Ndio iwe basi,issue imefungwa ? Bunge haliwezi kuhoji,Raisi ndio achague mdhibiti mwengine,basi raha sana hata Samia nae akwapue chake mapema kisha ambadilishe mdhibiti wa hesabu ,ajabu watu hawa hawachelewi kumtaja Mungu na kuwa wanamuogopa,kanzu na vitarabushi wapo mstari wa mbele.

Ali Hassan Mwinyi sijawahi kusikia kama hela ilipotea ni mtu wa Mungu.
 
Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata marais wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka?
Ukiacha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mchonga meno....!
 
Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata marais wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka?
Ukiacha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mchonga meno....!
 
Kama aliiba zipo wapi Sasa? hizo ni hela nyingi sana mkuu....sidhani kama inawezekana kuiba pesa zote hizo...hili siamini kabisa.
Kuna mtu angeweza kumwambia kitu? Kisa cha Prof Assad kufukuzwa u CAG ni nini?
 
Kuna nchi Twiga walipanda ndege.

Watu wakabeba fedha kwenye mifuko baada ya Rais kusema fedha si mali ya Serikali.
 
Hayo ni majungu, na hayana proof kwamba ni yeye alihusika moja kwa moja. Alimlipiza nani visasi? Alimfanyia nani roho mbaya? Wewe unawezaje kujua zil 1.5t, ziliibiwa na yeye mwenyewe kwa maslahi yake binafsi? Naomba uwe specific. Sisi wanaume wengine hatupendi sana mitaarabu na mipasho isiyokuwa na grounds. Jitahidi kutusaidia msingi wa hoja.
Unataka kukausha bahari kwa kuchota maji ukitumia ndoo, duh!
Kipi kilichosababisha CAG kupigwa chini kinyume cha sheria/utaratibu/katiba?
 
Report ya CAG, ilisema alizichukua akazipeleka wapi?
Mtu aliyeiba ndiyo anapaswa kusema au anapaswa kubanwa mpaka aseme alikozificha, nani angeweza kumbana Jiwe mpaka aseme?
CAG yeye alibaini kuwa 1.5trn imepigwa na akataka kuuvalia njuga upigaji huo hivyo akapigwa chini tena kinyume cha sheria.
 
Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata marais wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka?

Swali: Je Tanzania itakuja kuwa na Rais asiyeiba?
 
Wengine mnatakaga sifa za kijingatu ilimradi uonekane nawewe unalialia.

Upuuzi mtupu,unaweza kudhibitisha huo ushetani wake ama ni bendera fataupepo.

Alafu unalinganisha nini kati ya Iddi Amini na huyo unaemuita shetani.
Hao mashetani wawili Nduli Amini na Nduli Jiwe wote walikuwa wauaji, usipokubaliana na mawazo au mipango ya ujue unatafuta kifo, walijitengenezea mazingira ya kutawala milele.
Kwa kutaja tu machache.
IMG_20220119_204234.jpg
 
Kama aliiba zipo wapi Sasa? hizo ni hela nyingi sana mkuu....sidhani kama inawezekana kuiba pesa zote hizo...hili siamini kabisa.
Kwa hivyo CAG alidanganya? Na alidanganya kwa faida ya nani?
Kwanini hakuachwa afanye kazi yake mpaka amalize hilo suala la huo upotevu/wizi wa 1.5trn inayojadiliwa hapa.
 
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Jamaa alikuwa na roho mbaya sana yule.
Kiwanda chetu cha kutengeneza vyeti feki pale Buguruni alikiua hadi leo hatuna kazi.
Mzee wetu alikuwa analamba mishahara ya wafanyakazi hewa kama sita hivi, JPM akatibua hadi leo anaishi kwa mshahara wake. Kakoonda!
 
Back
Top Bottom