Je tanzania bara kuna udini

Status
Not open for further replies.

Comi

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
3,328
955
Jana nimeangalia taarifa ya habari startv pakawa na habari kuwa waislam wameanza kuchambua katiba ya sasa ili kujiandaa kwa katiba mpya. Kuna mjumbe mmoja akawa anahojiwa yeye akawa anasema jumamosi na jumapili zilitengwa mapumziko kwa ajili ya dini fulani sasa wao hawajapendezewa nayo wanataka mabadiliko ya siku hizo,je kimantiki jumamosi ni kwa ajili ya dini fulani tu?kwani uarabuni(madina na makah) hawapumziki jumamosi na jumapili?
 
Mapumziko huko ni Ijumaa tu. Kuhusu udini bara,hilo liko wazi kuwa upo udini wakutisha japo viongozi wanakana lakini ukweli nikua udini upo katika kila sekta unayoijua.
 
Unaweza kuniambia ni sekta ipi ambayo imekaa kidini zaidi?
 
Okey kwa hiyo kikwete ni muasisi wa dini ya kiislam maana yeye ni mwislam kama ni hivyo iweje wafuasi wake walalamikie ukristo?
 
Unanifanya nishangae kama nyerere alivyoshangaa baada ya kuambia amewaika wakatoliki wengi kwenye uongozi wake lakini ulipopita uchunguzi ikaonekana wako wakatoliki 4 tu
 
Jana nimeangalia taarifa ya habari startv pakawa na habari kuwa waislam wameanza kuchambua katiba ya sasa ili kujiandaa kwa katiba mpya. Kuna mjumbe mmoja akawa anahojiwa yeye akawa anasema jumamosi na jumapili zilitengwa mapumziko kwa ajili ya dini fulani sasa wao hawajapendezewa nayo wanataka mabadiliko ya siku hizo,je kimantiki jumamosi ni kwa ajili ya dini fulani tu?kwani uarabuni(madina na makah) hawapumziki jumamosi na jumapili?
Mkuu, mimi naishi Madinna. Mapumziko huku ni Alhamis na Ijumaa tu. Jmosi na Jpili ni siku za kawaida za kazi. Kwa sababu ya umuhimu wa mawasiliano na nchi nyingine za dunia, mataifa mengi ya kiarabu isipokuwa Saudia yameanza utaratibu wa kupumzika Ijumaa na Jmosi.
 
Jana nimeangalia taarifa ya habari startv pakawa na habari kuwa waislam wameanza kuchambua katiba ya sasa ili kujiandaa kwa katiba mpya. Kuna mjumbe mmoja akawa anahojiwa yeye akawa anasema jumamosi na jumapili zilitengwa mapumziko kwa ajili ya dini fulani sasa wao hawajapendezewa nayo wanataka mabadiliko ya siku hizo,je kimantiki jumamosi ni kwa ajili ya dini fulani tu?kwani uarabuni(madina na makah) hawapumziki jumamosi na jumapili?

Ndo maana siku zote nasema hawa jamaa ni wakurupukaji na wamekuwa siyo watu wa kufikiria kabla ya kutenda nawashauri wazingatie elimu zaidi ndiyo itakayowakomboa kutoka kwenye huo ujinga walioko nao na itawasaidi kujenga fikra nzuri juu yao pindi watakapokuwa wakifanya maamuzi sahihi na siyo haya ya kukurupuka wanayofanya sasa mfano mzuri ni matoke ya kidato cha 4 na 6 shule zao zinakua za mwisho badala wakae na kutatua tatizo wanasema wanaonewa naweza kuziita ni akili za ujuha!
 
Mapumziko huko ni Ijumaa tu. Kuhusu udini bara,hilo liko wazi kuwa upo udini wakutisha japo viongozi wanakana lakini ukweli nikua udini upo katika kila sekta unayoijua.

Kwenye udini sikubaliani na wewe labda uniambie iko midomoni mwa viongozi wa ccm wakidhani wanaikomoa cdm kumbe wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe kwani udini wanaouhubiri ukija kweli na ukawa donda ndugu itakula kwa kila mtanzania na siyo siyo sisi walala hoi pekee japo ndo tutaumia zaidi!
 
Okey kwa hiyo kikwete ni muasisi wa dini ya kiislam maana yeye ni mwislam kama ni hivyo iweje wafuasi wake walalamikie ukristo?

siyo mwasisi wa uislamu bali ni mwasisi wa udini!
 
ccm now days hawana sera kabisa yaani hawana chakuwashawishi watanzania ili wawakubali sasa basi wanakuza hili suala la udini kuwa eti Chadema wana udini kama sera yao na wanajisahau kuwa wanavyoliongelea kila mara ndivyo wanavyozidi kulikuza na litawagarimu sana.
 
Jana nimeangalia taarifa ya habari startv pakawa na habari kuwa waislam wameanza kuchambua katiba ya sasa ili kujiandaa kwa katiba mpya. Kuna mjumbe mmoja akawa anahojiwa yeye akawa anasema jumamosi na jumapili zilitengwa mapumziko kwa ajili ya dini fulani sasa wao hawajapendezewa nayo wanataka mabadiliko ya siku hizo,je kimantiki jumamosi ni kwa ajili ya dini fulani tu?kwani uarabuni(madina na makah) hawapumziki jumamosi na jumapili?

wasijali katiba mpya itatoa mapumziko kuanzia alhamisi hadi jumapili, ili kukidhi upuuzi wa kidini tunaotaka kuuingiza
 
Mkuu, mimi naishi Madinna. Mapumziko huku ni Alhamis na Ijumaa tu. Jmosi na Jpili ni siku za kawaida za kazi. Kwa sababu ya umuhimu wa mawasiliano na nchi nyingine za dunia, mataifa mengi ya kiarabu isipokuwa Saudia yameanza utaratibu wa kupumzika Ijumaa na Jmosi.
Hapo ndiyo penyewe...
 
Mapumziko huko ni Ijumaa tu. Kuhusu udini bara,hilo liko wazi kuwa upo udini wakutisha japo viongozi wanakana lakini ukweli nikua udini upo katika kila sekta unayoijua.

Daima napenda mtu anaposemea jambo lolote pia atoe na ushahidi.

Hapa tunaelimishana na kupeana tahazali ya nini kifanyike kulinusuru taifa Tanzani.

Toa mifano isiyo na shaka wala uchochezi iliwatu wajifunze, kusema kunaudini sana haitoshi bila mifano hai kutufumbua macho.
 
Nani anayejua idadi halisi ya waislam na wakristu ndani ya cdm,ccm,cuf,nccr,tlp n.k usije ukasema kitu bila kutambua, mf. Rais wetu mwislam,makam mwislam,mkuu wa polisi mwislam n.k mbona wakristu wamekaa kimya, ila tabu ni imani ya dhehebu husika ndio inayoona unaonewa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom