Je tanzania bara kuna udini

Status
Not open for further replies.
mimi nilikuwapo katika semina hiyo, na ilikuwa ni semina tulivu,na yenye malengo kwa jamiii nzima, naona hpa labda tuangalie kidogo yale ambayo mmeyasema(hyakuwa katika semina)tunapozungumzia udini ni mfumo km vile mfumo wa damu katika mwili,hakuna shaka 100% tanzania ina ina mfumo huo,nao nimfumo kristo,mfano unaposema vijana wakiisalmu wanafeli(si kwamba hawana akili)hebu kumbuka pale ulipobadilishwa mfumo wa majina kwenda kwenye namba,na marehemu kigoma malima, mwaka wa kwanza wanafunzi waliofaulu ni 75%,jiuulize ni kwanini?
 
Mkuu, mimi naishi Madinna. Mapumziko huku ni Alhamis na Ijumaa tu. Jmosi na Jpili ni siku za kawaida za kazi. Kwa sababu ya umuhimu wa mawasiliano na nchi nyingine za dunia, mataifa mengi ya kiarabu isipokuwa Saudia yameanza utaratibu wa kupumzika Ijumaa na Jmosi.

Ni kweli kabisa mkuu. Hata Morocco na Tunisia mapumziko ni jumamosi na jumapili. Hii inatoka na ukweli kuwa bila kufanya hivyo wanakuwa na siku 3 tu kwa wiki kuwasiliana na dunia kitu ambacho kina athari kwa uchumi wao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom