Je sifa hii inaruhusu mtu kuwa mwalimu

PYU

JF-Expert Member
Oct 3, 2012
201
42
Napenda sana kufundisha.nina degree yangu ya theology in mission from
Covenant University ya Florida USA,je naweza kuomba kazi serikalini? na kama ndiyo nifanyeje? kwa sasa niko arusha.asanteni
 
Uajiriwe Serikalini kwa Shahada ya Theology? Je ukafundishe (ma)somo gani? Ng'ang'ania huko mission, kwa bahati mbya hata huko Seminary wana vyuo vyao vya Waalimu wanavyoviamini.
 
Wewe ni mtu safi sana kwa ustaarabu. swali lako ni zuri na liko wazi. maana ya ualimu inaletwa na masomo ya ualimu kama vile psychology of education,philosophy of education,educational measurement,sociology of education and many others.kama ulisoma hayo masomo wewe ni mwalimu bila ya kujali academic subjects ulizosoma.ushauri wangu ni kwamba ongeza degree ya pili ili uombe kufundisha vyuo vikuu vya dini na vya serikali vya ndani na nje ya nchi.mfano the open university of tanzania wana masomo ya dini(ni taasisi ya serikali).
 
Wewe ni mtu safi sana kwa ustaarabu. swali lako ni zuri na liko wazi. maana ya ualimu inaletwa na masomo ya ualimu kama vile psychology of education,philosophy of education,educational measurement,sociology of education and many others.kama ulisoma hayo masomo wewe ni mwalimu bila ya kujali academic subjects ulizosoma.ushauri wangu ni kwamba ongeza degree ya pili ili uombe kufundisha vyuo vikuu vya dini na vya serikali vya ndani na nje ya nchi.mfano the open university of tanzania wana masomo ya dini(ni taasisi ya serikali).
Asante,ila ndani ya theology kuna masomo ya education,sociology,nadhani pia naweza fanya postgraduate,naupokea ushauri wako
 
Back
Top Bottom